beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Mbunge wa Viti Maalum, Nusrat Hanje amesema Taifa bado linalima kama Adam na Hawa walivyolima Eden. Ameeleza, "Tunalima Kilimo kinachotegemea Mvua na kudra za Mwenyezi Mungu katikati ya mabadiliko makubwa ya Sayansi na Teknolojia.
Vilevile Mbunge huyo amesema kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" imepelekea Bajeti ya Wizara hiyo kutekelezwa chini ya 50% kuanzia mwaka 2016 hadi 2021.
Amefafanua, "Ipo haja ya kubadilisha kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" pengine inayofanana na "Kilimo ni Oxygen ya Uchumi wa Taifa". Nafikiri kauli hii ndio inatufikisha hapa leo. Unaweza kuvunja Uti wa Mgongo ukaendelea kuishi, ila ukikosa Oxygen utakufa".
Vilevile Mbunge huyo amesema kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" imepelekea Bajeti ya Wizara hiyo kutekelezwa chini ya 50% kuanzia mwaka 2016 hadi 2021.
Amefafanua, "Ipo haja ya kubadilisha kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" pengine inayofanana na "Kilimo ni Oxygen ya Uchumi wa Taifa". Nafikiri kauli hii ndio inatufikisha hapa leo. Unaweza kuvunja Uti wa Mgongo ukaendelea kuishi, ila ukikosa Oxygen utakufa".