Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ila maisha yako tofauti kweli. Akina Mdee wanapiga pesa ndeeefu kwenye Bunge la Ndugai, ninyi mnapiga porojo weeeeeee JF!!!!huyo mpuuzi ni mbunge wa garage.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila maisha yako tofauti kweli. Akina Mdee wanapiga pesa ndeeefu kwenye Bunge la Ndugai, ninyi mnapiga porojo weeeeeee JF!!!!huyo mpuuzi ni mbunge wa garage.
na muda huo-huo babu tale anavunja pesa pesa bungeni alafu nyie mataga pori mnaharisha damu hapa JF.Ila maisha yako tofauti kweli. Akina Mdee wanapiga pesa ndeeefu kwenye Bunge la Ndugai, ninyi mnapiga porojo weeeeeee JF!!!!
Duh, huyu Covid naye kaibuka leoMbunge wa Viti Maalum, Nusrat Hanje amesema Taifa bado linalima kama Adam na Hawa walivyolima Eden. Ameeleza, "Tunalima Kilimo kinachotegemea Mvua na kudra za Mwenyezi Mungu katikati ya mabadiliko makubwa ya Sayansi na Teknolojia.
Vilevile Mbunge huyo amesema kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" imepelekea Bajeti ya Wizara hiyo kutekelezwa chini ya 50% kuanzia mwaka 2016 hadi 2021.
Amefafanua, "Ipo haja ya kubadilisha kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" pengine inayofanana na "Kilimo ni Oxygen ya Uchumi wa Taifa". Nafikiri kauli hii ndio inatufikisha hapa leo. Unaweza kuvunja Uti wa Mgongo ukaendelea kuishi, ila ukikosa Oxygen utakufa".
Ahaaaaaaaaaaaaaaaa! Ndugai ana maajabu yake mweee! Bunge lina wabunge wasio na Chama cha Siasa. Hii ni kali ya karne. Hivi Ndugai ni binadamu mwenye ufahamu na utashi?Kupitia Covid 19
Huyu jamaa ameivuruga sana jamii na nchi yetu. yaani nchi ilikuwa inaendeshwa kama guta la mtu binafsi. unalisukuma huku na kule, kushoto, kulia, mbele, tembea! Tulikuwa kama mapunguani ful;ani vile!Magufuli party
Huyu jamaa ameivuruga sana jamii na nchi yetu. yaani nchi ilikuwa inaendeshwa kama guta la mtu binafsi. unalisukuma huku na kule, kushoto, kulia, mbele, tembea! Tulikuwa kama mapunguani ful;ani vile!
Hakuna aliyelima Bustani ya Eden toa Ushahidi Covid weweMbunge wa Viti Maalum, Nusrat Hanje amesema Taifa bado linalima kama Adam na Hawa walivyolima Eden. Ameeleza, "Tunalima Kilimo kinachotegemea Mvua na kudra za Mwenyezi Mungu katikati ya mabadiliko makubwa ya Sayansi na Teknolojia.
Vilevile Mbunge huyo amesema kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" imepelekea Bajeti ya Wizara hiyo kutekelezwa chini ya 50% kuanzia mwaka 2016 hadi 2021.
Amefafanua, "Ipo haja ya kubadilisha kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" pengine inayofanana na "Kilimo ni Oxygen ya Uchumi wa Taifa". Nafikiri kauli hii ndio inatufikisha hapa leo. Unaweza kuvunja Uti wa Mgongo ukaendelea kuishi, ila ukikosa Oxygen utakufa".
Mfano mtiririko wa upandaji wa salary kwa watumishi itachukua miaka Ili uje ukae SAwa na kama atotokea kichaa mwingine.Huyu jamaa ameivuruga sana jamii na nchi yetu. yaani nchi ilikuwa inaendeshwa kama guta la mtu binafsi. unalisukuma huku na kule, kushoto, kulia, mbele, tembea! Tulikuwa kama mapunguani ful;ani vile!
Msituwekee post za wanasiasa malaya malaya. Sina muda wa kusoma hiiMbunge wa Viti Maalum, Nusrat Hanje amesema Taifa bado linalima kama Adam na Hawa walivyolima Eden. Ameeleza, "Tunalima Kilimo kinachotegemea Mvua na kudra za Mwenyezi Mungu katikati ya mabadiliko makubwa ya Sayansi na Teknolojia.
Vilevile Mbunge huyo amesema kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" imepelekea Bajeti ya Wizara hiyo kutekelezwa chini ya 50% kuanzia mwaka 2016 hadi 2021.
Amefafanua, "Ipo haja ya kubadilisha kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" pengine inayofanana na "Kilimo ni Oxygen ya Uchumi wa Taifa". Nafikiri kauli hii ndio inatufikisha hapa leo. Unaweza kuvunja Uti wa Mgongo ukaendelea kuishi, ila ukikosa Oxygen utakufa".
Huyu naye!!! Anaongea asichokijua!!! Adam na Hawa hawkulima Eden walitakiwa kula tu na kuishi. Waalipotenda dhambi walifukuzwa Eden. Hawakuanza kulima Eden.Mbunge wa Viti Maalum, Nusrat Hanje amesema Taifa bado linalima kama Adam na Hawa walivyolima Eden. Ameeleza, "Tunalima Kilimo kinachotegemea Mvua na kudra za Mwenyezi Mungu katikati ya mabadiliko makubwa ya Sayansi na Teknolojia.
Vilevile Mbunge huyo amesema kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" imepelekea Bajeti ya Wizara hiyo kutekelezwa chini ya 50% kuanzia mwaka 2016 hadi 2021.
Amefafanua, "Ipo haja ya kubadilisha kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" pengine inayofanana na "Kilimo ni Oxygen ya Uchumi wa Taifa". Nafikiri kauli hii ndio inatufikisha hapa leo. Unaweza kuvunja Uti wa Mgongo ukaendelea kuishi, ila ukikosa Oxygen utakufa".
Covid 19.Huyu ni mbunge wa viti maalum kupitia chama gani?
Kasome Mwanzo 2:15
Kasome Biblia Mwanzo 2:15 ndugu. Usipende kuongea bila kufanya utafiti.Kwani bustani ya Eden Adam na hawa walilima kitu gani? navyojua Mungu aliwaweka pale wakakuta kuna kila kitu, akawaruhusu wale matunda yote kasoro ya mti wa katikati, huyu Hanje anataka kutudanganya Adam na Hawa walikuwa wakulima.
Ametoa suluhisho la nini kifanyike au anaona kutoa maoni pekee inatosha?
Eden hakukuwa na kilimo cha kutegemea mvua na kudra za Mungu kila kitu kilikuwa tayari ready madeMbunge wa Viti Maalum, Nusrat Hanje amesema Taifa bado linalima kama Adam na Hawa walivyolima Eden. Ameeleza, "Tunalima Kilimo kinachotegemea Mvua na kudra za Mwenyezi Mungu katikati ya mabadiliko makubwa ya Sayansi na Teknolojia.
Vilevile Mbunge huyo amesema kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" imepelekea Bajeti ya Wizara hiyo kutekelezwa chini ya 50% kuanzia mwaka 2016 hadi 2021.
Amefafanua, "Ipo haja ya kubadilisha kauli ya "Kilimo ni Uti wa Mgongo wa Taifa" pengine inayofanana na "Kilimo ni Oxygen ya Uchumi wa Taifa". Nafikiri kauli hii ndio inatufikisha hapa leo. Unaweza kuvunja Uti wa Mgongo ukaendelea kuishi, ila ukikosa Oxygen utakufa".