Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

huyu kocha huwa ananiudhi hapo tu. natamani akishapanga kikosi sub amwachie Matola. Zile goli 2 zilizorudi ziliniuma sana hazikuwa za kurudi zile
Tukubali ukweli huyu kocha hatufai hata tukishinda kocha wa yanga anajua kabisa Simba itakujaje kitajachombeba ni uwezo binafsi hii ya kuacha mshambuliaji mmoja sii wakati wote inafanya kazi
 
Mbona salehjembe katoa list nyingine Tshishimbi ndani ila Nyonzima hayupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…