Nusu fainali Mapinduzi Cup: Msijidanganye na Matokeo dhidi ya Azam, rekodi dhidi yenu hazidanganyi

Nusu fainali Mapinduzi Cup: Msijidanganye na Matokeo dhidi ya Azam, rekodi dhidi yenu hazidanganyi

Naombeni link niko mbali na tv Leo!!!
Link mambo ya mbele hayo. Kama hutaenda kwenye kibanda umiza utulie hapa tukupe updates. Sawa sawa?!(in Maalim's voice)
 
Tunasubiri mshindi tu ili tubonyeze kizenji kama Yanga..Azam fc raha sana
 
Wasivunje viti tu huko pemba
Mkuu!

umenikumbusha jambo. hawa wamatopeni hawakawii kuanza kusema ZDF wamepokea pesa kutoka kwa Manji ili ziongwe kwa waamuzi watakao chezesha game za YangaSC.
 
Hujaweka nani kati yao ktk mechi moja alipigwa nyingi!
YANGA 0 - 5 SIMBA SC.
Ile ya sita sitaki kuiweka hapa maana ni kitambo sana.... Nasikia Kibaden alipiga HAT TRICK.


Mkuumbona unajishushia heshima tena?

sasa nani alikuwa bingwa wa ligikuu ulipomfunga Yanga SC bao 5?

Tunatofautiana sana malengo. kwa ukubwa wa klabu ya Yanga SC haiwezi hata siku moja kuweka (kurudisha bao 5) kwenye agenda ya Mafanikio ya klabu ya wananchi.

by the way! nilishawaonya muache kujigamba na bao 5 , kwani Yanga SC hajawahi kuwapiga bao 5 nyie? au umezaliwa mwaka '86?
 
Mwenye moyo mzuri lakini!!! Anisaidie link jamani!!!

Pole sana Mkuu!

unaweza kutazama mchezo wowote ule wa soka unaorushwa na Azam TV .

Kupitia kiunganishi hiki:- [[[[AzamTV]]]]
 
Yaani kujifungia kote ukawa umekimbia jukwaa baada ya kulimwa 4NGO...!

Unadidimizwa tena leo...!


sijakuelewa mkuu. hebu jaribu kudadavua msingi wako wa ujumbe
 

Mkuumbona unajishushia heshima tena?

sasa nani alikuwa bingwa wa ligikuu ulipomfunga Yanga SC bao 5?

Tunatofautiana sana malengo. kwa ukubwa wa klabu ya Yanga SC haiwezi hata siku moja kuweka (kurudisha bao 5) kwenye agenda ya Mafanikio ya klabu ya wananchi.

by the way! nilishawaonya muache kujigamba na bao 5 , kwani Yanga SC hajawahi kuwapiga bao 5 nyie? au umezaliwa mwaka '86?

4G FC hamukawii Kurudisha Goli 5 lakini Munakawia Kurudisha Zile Goli 6 za kina King Kibaden...... 😀😀 😀
 
simba kufungwa sasa labda amri itoke magogoni
Mkuu!

inapendeza kuona umetafuta kisingizio mapema.

sasa wataarifu wana simba wenzako kuwa ''jamani kama endapo tukipoteza hii game ya leo basi Kiongozi wa magogoni amehusika.''
 
simba kufungwa sasa labda amri itoke magogoni
Mkuu!

inapendeza kuona umetafuta kisingizio mapema.

sasa wataarifu wana simba wenzako kuwa ''jamani kama endapo tukipoteza hii game ya leo basi Kiongozi wa magogoni amehusika.''
 
Ktk hii article yako umesahau kuweka na takwimu ya aliemkimbia mwenzake kwa kutorudisha timu uwanjani half ya pili
Mkuu!

pia nakukumbusha kuwa ulishindwa kabisa kutokea uwanjani katika moja ya mechi huko nyum.Nadhani unaikumbuka, kama ulizaliwa juzi niambie nikukumbushe hapa!
 
demigod Tayari Wanaume Tumeshawapakata Kiulaini! Nyinyi Mutaishia Kuwa WAKITANGANYIKA tu!
Nje Ya Tanganyika Munajuilikana Kuwa ni Mboga Tu Kwa Wanaume....
Tukuwaambia Munafanya Miamala Tanganyika Munakataa!!! Sasa Ona Nje Ya Tanganyika Musikofanya Miamala Mnavyobakwa...
😀 😀😀
 
0c99a78660eb5c7d2ef73436a7c26f66.jpg
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naam!

ni nusu fainali, haijalishi unacheza na nani. ilikuwa ni lazima mkutane na Yanga SC. Njia pekee ya kumkwepa Yanga SC ni kujihakikishia mnatoka hatua ya makundi mkiwaacha waganda na aidha timu mojawapo kutoka Zanzibar.

Kukutana na Yanga SC ni kitu ambacho hakizuiliki kabisa. hata usingekutana naye nusu faina basi ni lazima ungekuja kukutana naye fainali.
Tunajua kuwa huenda unajaribu kujichekesha muda huu, kwa kujiaminisha unaenda kukutana na Yanga SC iliyocheza dhidi ya Azam FC.

Basi, kabla hujafikiria mengine kichwano mwako. ningependa nikutahadharishe kuwa yule Bingwa wa kihistoria wa soka la Tanzania.....anakutana nawe nusu fainali MapinduziCup 2017. Najua wajua kuwa sote tunajua kuwa unadhani ndoto zako ambazo umekuwa ukiota tangu miaka kadhaa iliyopita za kumfunga Yanga SC kwenye mchezo zitatimia, basi ningependa nikutaarifu kuwa huo muda na wakati bado haujafikia.

sote tunajua kuwa baada ya kushuhudia matokeo ya mechi ya kirafiki/ wa kukamilisha ratiba baina ya Yanga vs Azam, ukapata matumaini ya moyo kuwa ile ndoto yako huenda ikatimia hasa kwenye michuano hii ya hapa Zanzibar.

Tunapenda kukuambia kuwa. Kajiandae!

naam. kabla sijaondoka ningependa tu niwakumbushe kuwa ni yupi baba mwenye nyumba inapokuja suala la mtanange huu wa watani wajadi.Inapokuja mtanange wa kuweka heshima mtaani huwa jeshi la Kijani liko makini mno, na wala halichezei shilingi chooni. Hebu jipatie kujisomea baadhi ya rekodi za Bingwa mtetezi na wa kihistoria wa LigiKuu Tanzania Bara!

MITANANGE:-

1. Match Played between these two clubs! 93

2. Match won by Dar es salaam Young Africans 35

3. Match won by Msimbazis' Simba SC 25

(Kuna upungufu wa michezo 10 ambayo Simba SC imefungwa na Yanga SC)

mechi zilizoisha sare 33


MATOKEO:-

1. Mabao ya Yanga SC dhidi ya Matopeni FC - 102

2. Mabao ya Matopeni dhidi ya Yanga SC - 89

(Kuna upungufu wa mabao 13 ambayo Simba SC imefungwa na Yanga SC)


Hayo ni baadhi ya yale ambayo Yanga SC amekuwa akifufanyia tangu mwaka 1935 mpaka ile siku Amis Joslin Tambwe alipofanikiwa kupiga bao la 'Mkono wa Mungu' au 'Maradona' na kusababisha bange ziliyokuwa zikivutwa na mashabiki wa Matopeni FC zijidhihilishe kwenye ulimwengu wa macho ya nyama na mpaka kila mtu akapata nafasi ya kushuhudia uharibifu wa rasilimali za Taifa ambazo sasa Klabu yenu inamalizia kuzigharamia kikamilifu.

Tunaposema kisigino hakikai mbele wengi huwa wanashangaa, hakikai mbele ni kweli. Tunawadai kila kona....na hapo ndipo panapo dhihirisha nani ni bora dhidi ya mwenzake. Tumekusudia kubeba ndoo 3 msimu huu.

1.Mapinduzi
2.LigiKuu
3.Azam Sports federation Cup.


Natamani niendele na uandishi wa uzi huu kuhusu tarehe ya mara ya mwisho umemfunga Yanga SC, kwa kuwahiyo tarehe mimi nimeisahau....na huenda Mwanangu ambaye sasa anatembea alikuwa angali tumboni mwa mama yake!
Ngoja niliache tu! mzalendo anisaidie.
Updates brother, huu mchezo hauhitaji hasira.
 

Mkuumbona unajishushia heshima tena?

sasa nani alikuwa bingwa wa ligikuu ulipomfunga Yanga SC bao 5?

Tunatofautiana sana malengo. kwa ukubwa wa klabu ya Yanga SC haiwezi hata siku moja kuweka (kurudisha bao 5) kwenye agenda ya Mafanikio ya klabu ya wananchi.

by the way! nilishawaonya muache kujigamba na bao 5 , kwani Yanga SC hajawahi kuwapiga bao 5 nyie? au umezaliwa mwaka '86?
We kweli kipofu mlipigwa 5 ikiwa simba alishatangazwa bingwa kama hujui na ndo ubingwa wa mwisho simba
 
Back
Top Bottom