Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya michuano ya Azam Sports Federation Cup hatua ya Nusu Fainali kati ya Yanga SC dhidi ya Simba SC, inatarajiwa kupigwa Jumamosi ya Mei 28, 2022 majira ya saa 9:30 Alasiri, kwenye Dimba la CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Nusu Fainali ya pili itapigwa Jumapili ya Mei 29, 2022 majira ya saa 9: 30 Alasiri kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid Mjini Arusha, ikiikutaniasha Azam FC dhidi ya Coastal Union.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini Tanzania (TFF) imetoa ratiba hiyo leo Mei 16, 2022
View attachment 2226863
Nusu Fainali ya pili itapigwa Jumapili ya Mei 29, 2022 majira ya saa 9: 30 Alasiri kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid Mjini Arusha, ikiikutaniasha Azam FC dhidi ya Coastal Union.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini Tanzania (TFF) imetoa ratiba hiyo leo Mei 16, 2022
View attachment 2226863