Nusu Kaputi/Ganzi

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Napenda kuuliza hivi kabla ya hizi dawa za usingizi/ganzi hazijatambuliwa watu walikuwa wanafanyiwaje upasuaji au hata kushona vidonda vikubwa?
 
Unapigwa nyuzi bila ganzi kitu ambacho ni cha kawaida hata leo kwenye case maakum. Kuna ticha mmoja alitariwa ukubwani baada ya kuondolewa mkono-sweta akasema yuko poa akaendesha baiskeli umbali wa takribani km 13, alivyofika nyumbani ndani ya dakika 10 maumivu yakaanza, nyuzi zilikata/kuhama kutokana na kuzungusha pedal ya baiki-alianza kulia kama katoto kachanga huku aibu zimemuisha wanawake wanaanagulia tu dudu yake; weweeeee alivyorudishwa kwa dokta, dokta alimshona upya bila ganzi. Jamaa hadi akisikia tohari mwili humsisika na kujikuta anaishikilia dudu yake.
 
Unaeza kufa kwa shock mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…