Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boxer inavaliwa mpaka inaanza kufanana na rangi ya mwiliUnakuta kijana wa kiume boxer akiivua akiiweka chini inasimama wima kwa kukakamaa kwa uchafu..........boxer inaweza kumaliza ndoo nne za maji maana kila akiisuuza bado inabadilisha rangi ya maji.......watu tumetofautiana sana....
Upo sahihi bwana mkubwa...👃Shuka unafua la nini mzee
Huu ndio uanaume sasa...😎Shuka unafua la nini mzee
Haya ndio mambo ya msingi, boxer hua haifuliwi zaidi ya kuvaa hadi unaichoka alafu unaitupilia kwenye jalala la jirani..😜Boxer inavaliwa mpaka inaanza kufanana na rangi ya mwili
Shuka linachakaa linanunuliwa jingineUpo sahihi bwana mkubwa...👃
me nikifua mashuka hua napatwa na mafua, kwann niugue kwa kujitakia 😂Ovyo🤣🤣🤣ukiumwa mafua ndo unafua
Aiseee swala la uchafu sio kabisa.Aki kuna binadamu n wachafuu, nmeshuhudia watu hao. Mwanaume boxer anayo moja tu n kuirudia tuu, mdgo wangu alianza hiyo tabia nlimnyoosha.
Sasa hv ana boxer zaid ya 10 na anazngatia usafi, maana nlimuambia usafi n wa kila mtu s wa watt wakike tuu.
Unayaacha yanakaa muda mrefu sana bila kufuliwame nikifua mashuka hua napatwa na mafua, kwann niugue kwa kujitakia [emoji23]
Kati ya vitu vilivyonishinda ni kutumia tissue halafu nibaki comfortable.Wazungu wachafu Sana,
mtu ambae anaona kastaarabika sana kuchamba kinyesi kwa karatasi (tissue) badala ya maji.
Unamshangaaje Sasa anapokaa miez 4 Bila kufua mashuka.
Usikute huo nao Ni ustaarabu ulaya,
Huku afrika labda ndio ushamba wetu tu