Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa na mashirika mengine ya misaada wamekuwa ni wenye huruma zaidi kwa kutoa tahadhari ya vifo vinavyoendelea Gaza kutokana na njaa na kiu.
Huruma zao zimekuwa ni kinyume na majriani na ndugu wa karibu wa wapalestina ambao wamepakana nao na ambao wanaangalia wakisubiri ruhusa ili wapeleke misaada.
Haijapata kutokea ukatili na uzembe wa aina hiyo kufanywa na binadamu.
Huruma zao zimekuwa ni kinyume na majriani na ndugu wa karibu wa wapalestina ambao wamepakana nao na ambao wanaangalia wakisubiri ruhusa ili wapeleke misaada.
Haijapata kutokea ukatili na uzembe wa aina hiyo kufanywa na binadamu.