power bank Senior Member Joined Aug 18, 2014 Posts 101 Reaction score 17 Oct 13, 2014 #1 This sms has been deleted..
Karucee JF-Expert Member Joined Mar 11, 2012 Posts 18,155 Reaction score 34,303 Oct 13, 2014 #2 naomba kujuzwa hiyo A.D ndo nn? Mimi kutolewa damu spitali hata ya malaria ni mbinde, kujitoa mwenyewe uliwezaje?
naomba kujuzwa hiyo A.D ndo nn? Mimi kutolewa damu spitali hata ya malaria ni mbinde, kujitoa mwenyewe uliwezaje?
power bank Senior Member Joined Aug 18, 2014 Posts 101 Reaction score 17 Oct 13, 2014 Thread starter #3 A D ni kipimo cha HIV mkuu, kuhusu damu kuna kisindano walinipa nimejichoma kidogo kidoleni damu ikatoka nikaweka kwenye kipimo kisha nikanyunyizia maji ya dawa niliyopewa.
A D ni kipimo cha HIV mkuu, kuhusu damu kuna kisindano walinipa nimejichoma kidogo kidoleni damu ikatoka nikaweka kwenye kipimo kisha nikanyunyizia maji ya dawa niliyopewa.