Nusura Alere Determiner Iniue

Nusura Alere Determiner Iniue

naomba kujuzwa hiyo A.D ndo nn? Mimi kutolewa damu spitali hata ya malaria ni mbinde, kujitoa mwenyewe uliwezaje?
 
A D ni kipimo cha HIV mkuu, kuhusu damu kuna kisindano walinipa nimejichoma kidogo kidoleni damu ikatoka nikaweka kwenye kipimo kisha nikanyunyizia maji ya dawa niliyopewa.
 
Back
Top Bottom