Nusura nife asubuhi ya leo

litutumbwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
642
Reaction score
1,303
Tupo kwenye ugomvi kidogo namke wangu kuhusiana na suala langu la kuzidi kuwa namwili yaani big,,
Amemshirikisha na ndugu yakeupande wa baba yake suala hili.. mimi ni muungwana mno,aliniita na kuniambia nipunguze mwili namkera mkewangu

Sikupinga kwakuwa mimi nimtu mzima mwenye akili zangu... ila yeye alipokuwa akiongea aliongea nikama kwa shari hivi...

Kwanza nimemuona tu at first sight nikagundua ni MCHAWI... jicho lake la kushoto lilikuwa linawaka... ni mtu mwenyemaarifa tu ndiyo huona kitu hiki,na akajua kama nimemgundua...


Asubuhi yaleo nimeshindwa kwenda kazini kutokana na madhila niliyopata... nimeamka najiangalia kwenye kioo naona pingili za mgongo zimechomoza na mgongo umejipinda yaani curve

Nikasema nini hii? Mke wangu akawa ananiona normal tu...

Mara pua yangu ikadondoka chini... kwenye kioo nikaduwaa... badala ya kujiona mimi nikawa namuona huyo mjomba wa mke wangu

Huyu asili yake ni Germany na ana undugu wa mbali kidogo na mkewangu...

Namuona macho yanatema cheche huku anacheka sana

Mke wangu ananiuliza why umeduwaa? Namzuga tu ila nikawa ulimwengu mwingine kabisa...

Nikarudi kulala after kupiga simu yadharura ofisini... nikaamka saa sita mke wangu ananishangaa na kuniuliza kulikoni

Jamani nachoka kuandika mambo ni mengu mno... bado pingili hazijatoka zimekuwa ndefumno na mgongo umekuwawa kizee... mke wangu anaona kawaida tu hana macho ya kuona haya nipitiayo

Nitashinda vita hii kwa uwezo wake Yeye
 
Badili ID/Jina hilo.
Utaitwaje Litutumbwe, ndiyo maana una nenepeana kama panya wa store
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…