NUTAS iliishia wapi?

NUTAS iliishia wapi?

Na wewe Zitto kabla hujaanza kuropoka kuutamani urasi kwanza anza kujibu maswali unayoulizwa. Kwenye mchakato wa kuutaka urais kuna maswali mengi hivyo lazima ujiandae kwa kuanza kujibu maswali hapa JF. NUTAS na pesa za wafadhili ziliishia wapi? mbona hamjatimiza jukumu mlilokabidhiwa na wala hamjasema mmelishindwa? kwa nini mmewaacha wanafunzi njia panda? Huu ndio uongozi wanaoutaka watanzania?
 
Na wewe Zitto kabla hujaanza kuropoka kuutamani urasi kwanza anza kujibu maswali unayoulizwa. NUTAS na pesa za wafadhili ziliishia wapi? mbona hamjatimiza jukumu mlilokabidhiwa na wala hamjasema mmelishindwa? kwa nini mmewaacha wanafunzi njia panda?

Mmmh...hapo umenishinda kwa data; mkuu nilisikiaga hiko katetesi kuwa muheshimiwa alikuwemo ila nikaogopa kukasema kutokana na kwamba sikuwa na reliable sources kunithibitishia hilo....Kweli kalikuwa kamkakati mahiri....
 
Mmmh...hapo umenishinda kwa data; mkuu nilisikiaga hiko katetesi kuwa muheshimiwa alikuwemo ila nikaogopa kukasema kutokana na kwamba sikuwa na reliable sources kunithibitishia hilo....Kweli kalikuwa kamkakati mahiri....

Alikuwepo mbele sana tangu wakati yuko Chuo Kikuu Cha Zanzibar. Kilichonifanya nianzishe hii thread ni kwamba wale waliokuwa mstari wa mbele kwenye mikakati ya NUTAS wengi wao sasa hivi wako chama kimoja. Je ni dalili kuwa ile mikakati ilikuwa na mkono wa chama hicho? Kitila MKumbo naomba jibu tafadhali.
 
Alikuwepo mbele sana tangu wakati yuko Chuo Kikuu Cha Zanzibar. Kilichonifanya nianzishe hii thread ni kwamba wale waliokuwa mstari wa mbele kwenye mikakati ya NUTAS wengi wao sasa hivi wako chama kimoja. Je ni dalili kuwa ile mikakati ilikuwa na mkono wa chama hicho? Kitila MKumbo naomba jibu tafadhali.
Kuna ki2 kinanichanganya akili yangu kuhusu jamaa kuutaka "Ubaba wa taifa" labda ana mikakati mathubuti kaipanga kufanya akiwa Ikulu.Lakini hili la NUTAS anaweza kulijibu right now sio mpaka aanze kupigiwa salute.
 
Back
Top Bottom