sunguramjinga
Senior Member
- May 11, 2023
- 175
- 227
Huyu n mfuasi wa kanji bila
Kanji kafanya yake😃😃Huyu n mfuasi wa kanji bila shaka
KabsaHuyu n mfuasi wa kanji bila shaka
Huyo either kala hela au demu anampelekeshaUtakuta kala hela ya Ada. Sasa atalipaje?
Katuaibisha sana..
UhakikaHuyo either kala hela au demu anampelekesha
Angekuwa alishawah kufatilia muvi za kipelelez na kufatilia matukio ya wizi ambayo yalishawah kutokea huko kwa wenzetu miaka mingi iliyopita asingekuwa na akili fupi hiviElimu yetu ina safari ndefu kufika kuliko kuzuri yaani na elimu yako na kusoma kozi ambazo bongo wanasema ni ngumu wanasoma wenye akili .
Lakini bado kijana kajiteka na simu anayowasiliana na wazazi anayo mikononi mwako .
Huyu sio msomi wa udaktari kwa wito ila kwa tamaa .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kennedy Nyangige mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha udaktari Bugando anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kujiteka na kisha kutuma meseji kwa wazazi, ndugu na viongozi wake wa chuo akidai ametekwa na inatakiwa milioni 3.5 ili aachiwe.
RPC Mwanza Wilbroad Mutafungwa amesema baada ya kupokea taarifa hizo kutoka kwa Daktari wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando Matiko Sirari, jeshi hilo lilianza kufanya uchunguzi wa tukio hilo na kubaini kijana alijiteka mwenyewe ili apate hiyo hela.
#EastAfricaTV
View attachment 2620431
😄😄 Kamwachia msala mdogo etu huyuKanji kafanya yake😃😃