Nwanza: Mwanafunzi wa chuo cha udaktari ajiteka apate hela

Nwanza: Mwanafunzi wa chuo cha udaktari ajiteka apate hela

Life gumu, ukicheki kila siku wewe ni kuokoa michomo tuu, hamna siku unashambulia, wasaidizi wako yaani mabeki(wazazi), wamelala.
Unawageuzia kibao.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani..life gumu kitaa..mwamba kaona isiwe shida
 
Angekuwa alishawah kufatilia muvi za kipelelez na kufatilia matukio ya wizi ambayo yalishawah kutokea huko kwa wenzetu miaka mingi iliyopita asingekuwa na akili fupi hivi
Nimejikuta nacheka tu ,yaani hizi muvi za mbele tuwe tunaziangalia kama masomo sio kuangalia bongo movie na ngumi za kompyuta na uniform za migambo [emoji3][emoji3]


Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Hakuwa makini, siku nyingine aombe kutumiwa mil 30 mil 3 ni ndogo, ila aobgeze umakini technic ni nzuri kujipatia pesa
 
Sasa ndio Ashambulie gorini kwake?
Mambo yakizidi unageuka Maguire tuu,

Hili life inafika hatu Unaachana masuala ya future, unajikita kutatua matatizo tuu, Yaani unasubiri tatizo lije unapita nalo, unasubiri jingine kesho..

Masuala ya future nawaachia wazungu na wenye imani ya kuishi kwingi.
 
Kennedy Nyangige mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha udaktari Bugando anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kujiteka na kisha kutuma meseji kwa wazazi, ndugu na viongozi wake wa chuo akidai ametekwa na inatakiwa milioni 3.5 ili aachiwe.

RPC Mwanza Wilbroad Mutafungwa amesema baada ya kupokea taarifa hizo kutoka kwa Daktari wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando Matiko Sirari, jeshi hilo lilianza kufanya uchunguzi wa tukio hilo na kubaini kijana alijiteka mwenyewe ili apate hiyo hela.

#EastAfricaTV
View attachment 2620431
"BAADA YA KUONA POST HII NIMEKUMBUKA MISTARI YA ALBERT MANGWEAR KWENYE SONG YA CCN NA FID Q ULE


MSTARI WA " NINA PESA MINGI MPAKA NATAMANI KUJITEKA 🤣🤣🤣"
 
1683988419525.png
 

Attachments

  • 1683988342428.png
    1683988342428.png
    105.8 KB · Views: 2
  • 1683988381717.png
    1683988381717.png
    105.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom