johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Acheni utani[emoji1787]Mgombea Urais CHADEMA 2025.
Hahahaaaa! Kwa Chadema lolote linawezekana manka!Acheni utani[emoji1787]
mdude kawaingiza chaka. Ukisikia Diversion ndio hii. Yaani Harakati za Chadema siku ile Tabata zimesambaa na kuamsha ari ya katiba mpya nchi nzima. Kupitia kauli ya kisiasa ya kibabe Nchi nzima imepata ujumbe kuwa kwa sasa kinachoendelea ni matakwa ya kupewa katiba mpya.Ningependa tu kujua mtu anayefahamika kwa jina la Nyagali Mdude ana cheo gani katika viunga vya Ufipa kwenye chama kikuu cha upinzani Chadema?
Matamko dhidi ya huyo Mdude kutoka CCM yamekuwa mengi so ingependeza zaidi kama tutapata wasifu wake wa kijamii, kisiasa, kiuchumi na kitaaluma.
Isijekuwa ni type ya Kibajaj na Kinanasi wa pale Lumumba.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Lissu na MdudeKiboko ya dikteta uchwara!!
Tunashanga sana na kujiuliza Mdude ni nani?CCM ina watu wajinga sana yaani Mdude tu ndio wameifanya kuwa ajenda ya kutuambia Watanzania.
Mdude ana side effects kwa Taifa. Wezi wa Kodi zetu
π π πNingependa tu kujua mtu anayefahamika kwa jina la Nyagali Mdude ana cheo gani katika viunga vya Ufipa kwenye chama kikuu cha upinzani Chadema?
Matamko dhidi ya huyo Mdude kutoka CCM yamekuwa mengi so ingependeza zaidi kama tutapata wasifu wake wa kijamii, kisiasa, kiuchumi na kitaaluma.
Isijekuwa ni type ya Kibajaj na Kinanasi wa pale Lumumba.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Ningependa tu kujua mtu anayefahamika kwa jina la Nyagali Mdude ana cheo gani katika viunga vya Ufipa kwenye chama kikuu cha upinzani Chadema?
Matamko dhidi ya huyo Mdude kutoka CCM yamekuwa mengi so ingependeza zaidi kama tutapata wasifu wake wa kijamii, kisiasa, kiuchumi na kitaaluma.
Isijekuwa ni type ya Kibajaj na Kinanasi wa pale Lumumba.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Hapo ingekuwa enzi za yule dhalim ndiyo watu wangelamba teuzi kwa kupitia matamko na kejeli kwa Mdude,kwa vile hawa uvccm walizoea kupata teuzi kwa staili hii ndiyo maana matamko yamekuwa mengi,ila Mama siyo mtu wa kukurupuka ndiyo maana anawachora tu kwani kauli ya Mdude haina tofauti kubwa na kauli zilizozoeleka za wanaccm na viongozi wao kuwatukana na kuwakejeli na hata kuwatishia vifo wapinzani.Ningependa tu kujua mtu anayefahamika kwa jina la Nyagali Mdude ana cheo gani katika viunga vya Ufipa kwenye chama kikuu cha upinzani Chadema?
Matamko dhidi ya huyo Mdude kutoka CCM yamekuwa mengi so ingependeza zaidi kama tutapata wasifu wake wa kijamii, kisiasa, kiuchumi na kitaaluma.
Isijekuwa ni type ya Kibajaj na Kinanasi wa pale Lumumba.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mdude aulizwe na vyombo husika kuhusu huo WEMBE; maana kama alimnyoa JPM AKAFARIKI na sasa anataka KUTUMIA WEMBE ULEULE amnyoe na SSH ni hatari sanaaaaa
Huwa hawapimi maneno yao, wanaropoka tu...dola au dip state wakianza kufanya kazi zao kuna tunaanza kusema fulani anaonewa mara apewe haki yake..
Acheni utani[emoji1787]
Yawezekana aliropoka bila kutafakari, jasho litamtoka!Mdude aulizwe na vyombo husika kuhusu huo WEMBE; maana kama alimnyoa JPM AKAFARIKI na sasa anataka KUTUMIA WEMBE ULEULE amnyoe na SSH ni hatari sanaaaaa