Sitaki, sitamani na sitarajii kumuona kiongozi yeyote;
(a) Anaharibu mahusiano baina ya nchi yetu na nchi nyingine.
(b) Anaharibu mahusiano baina ya wanachama wa tawala na wale wa vyama vya upinzani.
(c) Anahubiri majukwaani kwamba mkichagua upinzani sitaleta maji.
(d) Anapora fedha za watu.
(e) Anaruhusu utekaji na mauaji ya watu wanaomkosoa.
(f) Anaawabambikizia kesi watu aliowahi kupishana nao kauli.
g) Anawadhalilosha wastaafu wanapotoa ushauri usiompendeza,
n.k.
(a) Anaharibu mahusiano baina ya nchi yetu na nchi nyingine.
(b) Anaharibu mahusiano baina ya wanachama wa tawala na wale wa vyama vya upinzani.
(c) Anahubiri majukwaani kwamba mkichagua upinzani sitaleta maji.
(d) Anapora fedha za watu.
(e) Anaruhusu utekaji na mauaji ya watu wanaomkosoa.
(f) Anaawabambikizia kesi watu aliowahi kupishana nao kauli.
g) Anawadhalilosha wastaafu wanapotoa ushauri usiompendeza,
n.k.