Nyakati za Kiongozi wa Nchi kutukuzwa na kupambwa na Wanahabari umerejea tena

Nyakati za Kiongozi wa Nchi kutukuzwa na kupambwa na Wanahabari umerejea tena

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Wakati wa Awamu ya Nne tulishuhudia masuala ya ajabu sana maana vyombo vya habari vilikuwa vikipotosha umma. Kila alilolifanya mfalme wakati huo lilionekana jema.

Kuna wakati wananchi waliaminishwa kuwa mfalme amelithishwa viatu vya mwalimu Nyerere. Kilichofuata baada ya miaka miwili ni serikali kuvunjika na waziri mkuu kujiuzuru. Ikafuatia na maskendo kibao ya ya ufisadi .

Tumerudi tena zile zama za mfalme kuongoza nchi huku vyombo vya habari vikimsifia na kumpamba kwa kila atalokifanya. Iwe ni baya au zuri.

My take; Wanahabari wa Tanganyika na Zanzibar ni wanafiki wakubwa.
 
Wakati wa awamu ya nne tulishuhudia masuala ya ajabu sana maana vyombo vya habari vilikuwa vikipotosha umma. Kila alilolifanya mfalme wakati huo lilionekana jema.
Wacha uwongo wewe. Awamu ya nne ndiyo kulikuwa na magazeti yenye nguvu kubwa ya kukosoa mifano:-Mawio, Mwanahalisi, Mwananchi, Tanzania Daima.etc. Usipotoshe watoto wanaosoma andiko lako.
 
Wacha uwongo wewe. Awamu ya nne ndiyo kulikuwa na magazeti yenye nguvu kubwa ya kukosoa mifano:-Mawio, Mwanahalisi, Mwananchi, Tanzania Daima.etc. Usipotoshe watoto wanaosoma andiko lako.
Fuatilia historia upate ukweli.
 
Watu wanaumia aisee kweli kutesa kwa zamu.

Lakini MKUU iliyopo madarakani ni ccm.
 
Hata wewe kuna watu unawatukuza au hata vitu. Acha watu wapambanie matumbo yao. tz. Hatuna changamoto hatarishi
 
Kama bwana yule aliekua anaitwa Mungu, yesu, musa, huku akifarijika bila kukemea 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom