Nyakati za kufanya mapenzi.............Mh!!!

Nyakati za kufanya mapenzi.............Mh!!!

Wana-JF najua wikiendi ndio inakaribia ni imani yangu hili nalo lina nafasi yake katika mchakato mzima wa kuitafuna hiyo wikiendi. Ni wazi kila mtu ana utashi na kwa wakati wake anajisikia kupata raha ya mapenzi, lakini kwangu imekuwa tofauti. Mamsampu amenishauri kuwa yeye hujisikia raha sana kama game tukilipiga muda ule wa kawaida wa kwenda kulala. Yaani baada ya kupata dinner, tumeangalia runinga na mengineyo kuanzia saa 4 mpaka 5 usiku kitu ambacho mi kwa mtazamo wangu naona sio ukizingatia watu mnakuwa mmechoka baada ya pilika za kutwa nzima. Nimemshauri game tulichape ile alfajiri kabla hatujaamka kujiandaa kwenda vibaruani. Ukizingatia mnakuwa mmepumzika na ile baridi ya alfajirinakuwa mswano!. Najua kuna watakaouliza kwani siku zote tulikuwa tunafanya wakati gani hilo niachieni mwenyewe!!!:eek2::eek2::eek2::lol:

Surely thats the best time to have it with your husband or wife. Mine likes it better at that time.
 
Hivi mapenzi yana muda.Mkijipangia muda mtakuwa hamuenjoy vya kutosha..Msiwe na muda maalumu fanyeni wakati wote mnapojisikia maadamu mazingira yanaruhusu.
 
kwa sababu ya kutokuwa bias, fanyeni hiyo mida ya saa tano, kwani mwenzio kasema huwa anajisikia raha sana, nadhani moja linatosha, na la pili malizieni alfajiri kama wewe unavyopenda ili hata mnapokuwa kazini mnajiskia freeeeeshi wepesiiiiiiiiiiiiiiiii, kazi zinaenda.
 
sasa mnkauwa na katimetable ka hizo siku tatu kwa wiki ama inakuwaje...... mmmm vitanda vina habari,,,,vingeweza kuzungumza tu...dunia ingeisha abruptly!!
...Sio mchezo:dance::biggrin1::dance:
 
haya mambo hayana muda maalum, alfajiri, usiku, mchana and if you love each other mambo yanakuja naturally. lakini kuna wakati mnataka kujivinjari sawasawa u pack the kids kwa ndugu au rafiki au bibi kwa weekend halafu nyumba ni yenu na hata mgeni akija hafunguliwi.
 
Back
Top Bottom