Nyakati zaja, tutakapoamua kumwona Mbowe gerezani hadi uwe na kibali maalum

Nyakati zaja, tutakapoamua kumwona Mbowe gerezani hadi uwe na kibali maalum

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
WAAFRIKA wamezaliwa na roho ya ajabu sana, wamezaliwa na roho yakuumizwa na mafanikio yako Hadi kufikia mahali kutumia fedha au madaraka kukukandamiza.

Kitendo cha viongozi wa dini kusimama na kutamka adharani kwamba Mbowe yupo mahabusu kinyume Cha sheria kwa kesi za kubumba kinawaumiza Sana watawala na wanajiona Kama viongozi wa Dini wamekosa nidhamu wakiamini wao wanapaswa kuabudiwa kuliko Mungu wa viongozi wa dini.

Lakini pia Mbowe kuwa gerezani na makundi yote kusimama naye bila yeye kuwashawishi wasimame naye kunawafanya watawala wajione kama wanadharaulika kwenye jamii. Hasa yawezekana kwa chuki zao na kuona Kama huyu Bwana umaarufu umepanda mara dufu wataweka madharti asionekane na watu ila kwa kibali maalumu.

Jana tuliona walizuia si kwa sababu nyingine bali ni kutokana na wanaChadema kuzidi kuamasika kwenda kumwona, tunapokuwa na viongozi wenye roho za akina sabaya ambao pamoja na maovu yao walitetewa na kukumbatiwa na viongozi wa dini lazima tukubali kwamba ukatili wa madaraka ni mkubwa nchini. Wanaotenda haya tukumbuke wanaenda nyumba za ibada na wanajiamini kabisa kwamba Bado muda wao wakutawala Ni mkubwa.

Jiandaeni kisaikologia mtakaposikia hakuna kwenda Magereza kumwona. Na tukumbuke hivyo vibali maalum vitakuwa vinatolewa na serikali ambayo itakuwa imewaelekeza wanaotakiwa kutoa wawasiliane na mamlka za juu.

Ukienda kudai Hali mahakamani unakutana na majaji wa aina ya akina Siyani.

Kiburi Cha madaraka kina utamu wake hasa unapokisujudu ukamsau mtoa uhai.
 
hivi huwa hamna majukumu mengine ya kufanya, kama huna hata familia ya kuihudumia basi hata maisha yako mwenyewe? ! kutwa kucha unamzungumzia huyu Gaidi namaba mmoja,
Mhe. Gaidi Mbowe!!!
anavuna alicho kipanda, mwacheni akqbiliane na sheria, sisi viongozi wa dini hatuko tayari kumtetea mtu muovu mwenye dhamira ya kuvuruga amani ya Nchi.
Amani ya nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko gaidi mbowe.
hebu tuache kwanza tuangalie mnyama anavyo muuwa JFC
 
hivi huwa hamna majukumu mengine ya kufanya, kama huna hata familia ya kuihudumia basi hata maisha yako mwenyewe? ! kutwa kucha unamzungumzia huyu Gaidi namaba mmoja,
Mhe. Gaidi Mbowe!!!
anavuna alicho kipanda, mwacheni akqbiliane na sheria, sisi viongozi wa dini hatuko tayari kumtetea mtu muovu mwenye dhamira ya kuvuruga amani ya Nchi.
Amani ya nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko gaidi mbowe.
OK noted

Kuna faida gani unapata ukiandika takataka hapa JF?

Kuna hasara gani unapata ukiandika takataka hapa JF?

Faida unazopata kwa kuandika taka hapa JF ni kubwa kuliko hasara, Kwa kuwa tayari kichwa chako ni hasara hivyo faida ndogo uliyonayo ndio unatoa povu hapa JF kwa kutoka nje ya mjadala

Sio kosa lako kiongozi, Una uelewa finyu sana wa mambo yalivyo, Mleta mada anaelezea vibali vya kumuona Mbowe Magereza. Wewe unaelezea habari za Mbowe Gaidi

Na huu ujinga Umetokana na shule za kata mnazosoma, Hamuelewi mnachofundishwa darasani

Jibu hoja au pingana na hoja, Mfano Mimi sikubaliani na mleta mada kwa kuwa hatuna taarifa kutoka gerezani au polisi kwanini taarifa ya Chadema inasema watu walizuiwa

Taarifa iliopo ni ya Chadema tu, Sababu zitakapotolewa na Magereza itatupa picha kamili

Je kwa siku moja Gerezani mtu anaweza kutembelewa na watu wangapi? Taarifa ya Chadema ina mapungufu haisemi idadi ya mawakili walioruhusiwa kumuona Mbowe siku ya tukio

Tukipata taarifa zote mbili kutoka magereza na Chadema ndio tunaweza kutoa msimamo bila kuegemea upande wowote bali kwa kuzingatia sheria za Magereza na Katiba ya nchi
 
Aisee mpaka wehu sasa mmekuwa Viongozi wa dini..
Kazi ipo.
hivi huwa hamna majukumu mengine ya kufanya, kama huna hata familia ya kuihudumia basi hata maisha yako mwenyewe? ! kutwa kucha unamzungumzia huyu Gaidi namaba mmoja,
Mhe. Gaidi Mbowe!!!
anavuna alicho kipanda, mwacheni akqbiliane na sheria, sisi viongozi wa dini hatuko tayari kumtetea mtu muovu mwenye dhamira ya kuvuruga amani ya Nchi.
Amani ya nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko gaidi mbowe.
hebu tuache kwanza tuangalie mnyama anavyo muuwa JFC
 
OK noted

Kuna faida gani unapata ukiandika takataka hapa JF?

Kuna hasara gani unapata ukiandika takataka hapa JF?

Faida unazopata kwa kuandika taka hapa JF ni kubwa kuliko hasara, Kwa kuwa tayari kichwa chako ni hasara hivyo faida ndogo uliyonayo ndio unatoa povu hapa JF kwa kutoka nje ya mjadala

Sio kosa lako kiongozi, Una uelewa finyu sana wa mambo yalivyo, Mleta mada anaelezea vibali vya kumuona Mbowe Magereza. Wewe unaelezea habari za Mbowe Gaidi

Na huu ujinga Umetokana na shule za kata mnazosoma, Hamuelewi mnachofundishwa darasani

Jibu hoja au pingana na hoja, Mfano Mimi sikubaliani na mleta mada kwa kuwa hatuna taarifa kutoka gerezani au polisi kwanini taarifa ya Chadema inasema watu walizuiwa

Taarifa iliopo ni ya Chadema tu, Sababu zitakapotolewa na Magereza itatupa picha kamili

Je kwa siku moja Gerezani mtu anaweza kutembelewa na watu wangapi? Taarifa ya Chadema ina mapungufu haisemi idadi ya mawakili walioruhusiwa kumuona Mbowe siku ya tukio

Tukipata taarifa zote mbili kutoka magereza na Chadema ndio tunaweza kutoa msimamo bila kuegemea upande wowote bali kwa kuzingatia sheria za Magereza na Katiba ya nchi
hivi mnadhani Magereza ni sawa na Hospitalini?!
Magereza ni sehemu nyeti ambayo inawashikilia watuhumiwa hatari kama Mbowe na wenzake ambaye anatuhumiwa kwa Ugaidi.
 
hivi mnadhani Magereza ni sawa na Hospitalini?!
Magereza ni sehemu nyeti ambayo inawashikilia watuhumiwa hatari kama Mbowe na wenzake ambaye anatuhumiwa kwa Ugaidi.
Siwezi kushabikia habari za magereza, Nazifahamu vizuri

Hata wewe unaweza kwenda huko muda wowote, Watu wakikuwekea maiti mlangoni kwako au kwenye nyumba yako uwanjani, Jela itakuhusu tu, Mpaka utapojitetea kuonyesha hayakusu inaweza Chukua miaka hata miwili ndio ukawa huru

Kama wewe ni muajiriwa kaa kimya kabisa, Kwenye ajira kuna famba kibao, Watu wanaweza piga pesa ndefu, Mkakamatwa vidagaa ambao hamuhusiki mkatolewa sadaka jela

Usishabikie mambo ya jela, Huko kuna watu hawana hatia bali yaliwakuta Katika harakati za maisha

Sali na omba sana sana, Shukuru upo huru yasije yakakuta, Hakuna Anayependa kukaa huko hata kama walifanya makosa wakati wanafanya Wengine walifanya kwa mujibu wa amri, Fuatilia utetezi wa Sabaya

Sabaya anasema alifanya kuridhisha mamlaka na hakuwa na uwezo kukataa mamlaka wakati huo, Leo yamemkuta peke yake, Mamlaka haipo ingawa inafanya kazi
 
hivi huwa hamna majukumu mengine ya kufanya, kama huna hata familia ya kuihudumia basi hata maisha yako mwenyewe? ! kutwa kucha unamzungumzia huyu Gaidi namaba mmoja,
Mhe. Gaidi Mbowe!!!
anavuna alicho kipanda, mwacheni akqbiliane na sheria, sisi viongozi wa dini hatuko tayari kumtetea mtu muovu mwenye dhamira ya kuvuruga amani ya Nchi.
Amani ya nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko gaidi mbowe.
hebu tuache kwanza tuangalie mnyama anavyo muuwa JFC
Kwa changizo hili sina budi kusema kuwa uwezo wako ni mdogo sana.
~ Mtoa mada kaongea vibali vya kumuona Mh. Mbowe gerezani; umeshindwa kuliona hilo na kuchangia kutokana na dhima kuu!
~ Wewe ni nani mpaka uhukumu kwa kumwita Mbowe gaidi na case bado ikiwa on going?!
 
Mbowe anazidi kuwaharibia hao jamaa kila siku, kadri siku zinavyosogea na mipango yao miovu dhidi yake ndio inazidi kuvurigika, wanajua wazi wanamshikilia kwa makusudi bila kosa lolote, roho zao zinawasuta, wanajidai wako busy na mambo yao lakini wanajua fika watanzania majibu sahihi wanayo, ndio maana wanishia kuwa watu wa hasira tu kwenye hotuba na kukunja sura zao.
 
Siku akiondoka madarakani huyu bibi watajitokeza akina Vicky na Dk Diallo wengine kuanza kumshutumu lkn hivi sasa wanamshauri na kumpongeza kufanya ukandamizaji huu.
 
WAAFRIKA wamezaliwa na roho ya ajabu sana, wamezaliwa na roho yakuumizwa na mafanikio yako Hadi kufikia mahali kutumia fedha au madaraka kukukandamiza.

Kitendo cha viongozi wa dini kusimama na kutamka adharani kwamba Mbowe yupo mahabusu kinyume Cha sheria kwa kesi za kubumba kinawaumiza Sana watawala na wanajiona Kama viongozi wa Dini wamekosa nidhamu wakiamini wao wanapaswa kuabudiwa kuliko Mungu wa viongozi wa dini.

Lakini pia Mbowe kuwa gerezani na makundi yote kusimama naye bila yeye kuwashawishi wasimame naye kunawafanya watawala wajione kama wanadharaulika kwenye jamii. Hasa yawezekana kwa chuki zao na kuona Kama huyu Bwana umaarufu umepanda mara dufu wataweka madharti asionekane na watu ila kwa kibali maalumu.

Jana tuliona walizuia si kwa sababu nyingine bali ni kutokana na wanaChadema kuzidi kuamasika kwenda kumwona, tunapokuwa na viongozi wenye roho za akina sabaya ambao pamoja na maovu yao walitetewa na kukumbatiwa na viongozi wa dini lazima tukubali kwamba ukatili wa madaraka ni mkubwa nchini. Wanaotenda haya tukumbuke wanaenda nyumba za ibada na wanajiamini kabisa kwamba Bado muda wao wakutawala Ni mkubwa.

Jiandaeni kisaikologia mtakaposikia hakuna kwenda Magereza kumwona. Na tukumbuke hivyo vibali maalum vitakuwa vinatolewa na serikali ambayo itakuwa imewaelekeza wanaotakiwa kutoa wawasiliane na mamlka za juu.

Ukienda kudai Hali mahakamani unakutana na majaji wa aina ya akina Siyani.

Kiburi Cha madaraka kina utamu wake hasa unapokisujudu ukamsau mtoa uhai.
Ww dai katiba hii hoja yako itakuwa covered kwenye katiba mpya
 
Back
Top Bottom