Uchaguzi 2020 Nyalandu anatosha, tutampitisha. Lissu subiri kwanza

Uchaguzi 2020 Nyalandu anatosha, tutampitisha. Lissu subiri kwanza

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
20,694
Reaction score
32,527
Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.

Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.

Kwa nini Nyalandu?

- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.

Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.

#2020Chadema twende na Nyalandu#
 
Wewe bujawahi kuwa chadema na hii mada haikuhusu! Hii kwa ajili ya chadema tu
#2020twende na nyalandu#
Unajaribu kumdanganya nani wewe siku zote unafahamika ni kada wa lumumba.
 
Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.

Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.

Kwa nini Nyalandu?

- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.

Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.

#2020Chadema twende na Nyalandu#
Demokrasia itaamua nani anafaa.
 
Hana like hata moja hadi sasa ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajaribu kumdanganya nani wewe siku zote unafahamika ni kada wa Lumumba.
Anamfokea nani hii nyumbu ya Lumumba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana.
Mwambie Jiwe kuwa baruti ya kumsbaratisha inakuja! SGR ndiyo itampigia kura!
 
Mimi namuunga mkono Lissu anakubalika na wanachama wa CHADEMA. Wampe yeye ili kupunguza lawama baadae.

Pia naamini hapiti, hawezi mshinda Magufuli ila atatoa Changamoto.
 
Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.

Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.

Kwa nini Nyalandu?

- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.

Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.

#2020Chadema twende na Nyalandu#
Mimi naomba wampitishe ili ubishi uwaishe namna Magu atakavyo mgalagaza
 
Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.

Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.

Kwa nini Nyalandu?

- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.

Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.

#2020Chadema twende na Nyalandu#
CHADEMA IKITAKA KUFA KIFO CHA MENDE ITUWEKEE HUYO PANDIKIZI PIA HAKUNA MTANZANIA MWENYE USHAWISHI DUNIANI KUMPITA LISU KWA SASA NA MILELE!!!!
 
Wewe bujawahi kuwa chadema na hii mada haikuhusu! Hii kwa ajili ya chadema tu
#2020twende na nyalandu#
Watu mnajitoa ufahamu.
Kabla nilikuwa siamini hizi maneno, huwenda kweli zipo.

Mtu anakushauri vibaya. Ili iwe fursa kwake. Sasa siasani.
 
Unajaribu kumdanganya nani wewe siku zote unafahamika ni kada wa Lumumba.
Msome huyu jamaa hapa
Screenshot_20200801-131800.jpg
 
Sababu ya Nyarandu kwenda Chadema ni Lissu .Nyarandu hana ubavu wa kupambabna na Lissu ndani ya Chadema .Yata mkuta ya Bananga kwenye uchaguzi wa jimbo Arusha Mjini
 
Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.

Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.

Kwa nini Nyalandu?

- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.

Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.

#2020Chadema twende na Nyalandu#

Unawatega kunguru chambo maharage makavu mkuu?
 
Back
Top Bottom