Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti chadema ni taasisi imara inayojengwa na viongozi imara🤣😂🤣!Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.
Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.
Kwa nini Nyalandu?
- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.
Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.
#2020Chadema twende na Nyalandu#
MTU akikufatilia anakutambua kabisa kuwa wewe ni MTU wa aina ganiWewe bujawahi kuwa chadema na hii mada haikuhusu! Hii kwa ajili ya chadema tu
#2020twende na nyalandu#
Haya ndio maneno na uamuzi sahihi CHAMA SI MALI YA MTU BINAFSIDemokrasia itaamua nani anafaa.
Je kama Lisu na Nyalandu ni wsmoja utasemaje? Je nini maana ya demokrasia na upigaji kura?Sababu ya Nyarandu kwenda Chadema ni Lissu .Nyarandu hana ubavu wa kupambabna na Lissu ndani ya Chadema .Yata mkuta ya Bananga kwenye uchaguzi wa jimbo Arusha Mjini
Kwa hii comment yako wewe ni Lumumba buku 7.Lissu atamuunga mkono nyalandu. Kama hawezi amfate slaa alipo
Endeleeni kusubiri mchakato na maamuzi ya hicho kikao tuHuku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.
Hapo hapo ndio utakapoanzia MPASUKO ndani ya CDM. Lissu anautaka ugombea urais na urais wenyewe kwa damu na nyama. Hii ni kutokana na kuaminishwa na wafadhili wake huko Ulaya na washabiki wake (ambao wengi si wapiga kura, kwani hawakuwa hata na muda wa kujiandikisha kama wapiga kura) wachache wanaoshinda vijiweni na kurumbana tu bila mwelekeo wa hoja ila ushabiki na ukereketwa usio na tija when it come to voting and the election in general. Hivyo nawashauri mjipange kisawasawa ili kulinda huo "Umoja" wenu ndani ya CHADEMA vinginevyo mtavunwa na vyama vingine vya siasa.Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.
Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.
Kwa nini Nyalandu?
- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.
Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.
#2020Chadema twende na Nyalandu#
Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.
Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.
Kwa nini Nyalandu?
- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.
Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.
#2020Chadema twende na Nyalandu#
Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.
Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.
Kwa nini Nyalandu?
- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.
Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.
#2020Chadema twende na Nyalandu#
Hakuna cha moto wowote kutoka kwa Lissu. Kutoka kwa Lissu na wengine wote tusubiri kuona vicheche tu ambavyo haviwezi hata kuunguza au kuwasha moto kwenye nyumba ya nyasi. Najua huamini utasema ni ushabiki wa Lumumba, basi cha kufanya ni TUSUBIRI kwani subira huvuta heri!Chadema mkimpitisha Nyalandu mtakuwa mmefeli hata kabla ya uchaguzi kufanyika, mpitishen Lisu ili moto uwake kati ya CCM na CDM tofauti na hapo basi
Weee mataga, umejiunga lini CHADEMA?Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.
Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.
Kwa nini Nyalandu?
- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.
Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.
#2020Chadema twende na Nyalandu#
upinzani credible presidential candidate ni Tundu Lissu, ikishindikana kwa sababu yoyote ile then plan B has to be Zitto Kabwe.Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.
Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.
Kwa nini Nyalandu?
- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.
Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.
#2020Chadema twende na Nyalandu#
Wewe nadhani ni wa upande wa pili. Kwenye hili hats Nyalandu mwenyewe anajua Tundu Lissu ni habari nyingine. Anatimiza taratibu tu ili demokrasia ichukue mkondo wake.Huku tukiwa tunasubiri mkutano mkuu unaze hapo kesho, nipende kuwajulisha kuwa chama kama chama kina weledi na intelijensia ya kutosha hasa wakati huu wa vikao vya chama.
Chadema ni taasisi imara na inajengwa na viongozi imara sana hivyo pasina shaka yoyote maamuzi yao huwa sahihi.
Lazaro Nyalandu ndio mkombozi wetu kwa sasa kama chama lakini hatuwezi kubeza nguvu na ushawishi alionao Lissu, ila kwa sasa na kwa uchaguzi huu tunaenda na Nyalandu.
Kwa nini Nyalandu?
- Ana uzoefu wa kutosha sana kwenye serikali
- Ana urafiki na ukaribu mzuri sana na nchi zingine za nje ambapo suala la kidiplomasia linakuwa jepesi sana.
- Ni msikivu, mnyenyekevu na kiongozi mahiri sana. Hana jazba.
Lissu kwa sasa sio mtu sahihi wa kutuvusha hivyo tunamuomba na tunaomba sana amuunge mkono mshika bendera wetu wa urais, bwana Lazaro Nyalandu.
#2020Chadema twende na Nyalandu#
No si kwamba nasema Lisu atashinda uchaguzi, Lisu hawezi kushinda ilo liko wazi hata mtoto mdogo anajua kuwa Tanzania hakuna mtu anaweza shinda uchaguzi dhidi ya chama tawala hii ni kutokana kwamba ni desturi imejengeka kwamba wapiga kura si waamuzi wa kujiwekewa viongozi wanaowataka bali rejeeni kilichofanyika kwenye chaguzi za 2015, chaguzi za marudio na chaguzi za serikali za mitaa za 2019, nawasihi CDM kumsimamisha Lisu si kwa ajili ya kutwaa nchi bali kunogesha uchaguzi km tulivyozoea huko nyuma, lakini ikiwa watamsimamisha Nyalandu uchaguzi utapoa sana na kutokuwa na mvuto, CDM haitakuwa na Tofauti na vile vyama vya akina Shibuda na Mrema.Hakuna cha moto wowote kutoka kwa Lissu. Kutoka kwa Lissu na wengine wote tusubiri kuona vicheche tu ambavyo haviwezi hata kuunguza au kuwasha moto kwenye nyumba ya nyasi. Najua huamini utasema ni ushabiki wa Lumumba, basi cha kufanya ni TUSUBIRI kwani subira huvuta heri!