The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Hawa jamaa (Lazaro Nyalandu & Seleman Mathew) wamenifurahisha kwa jambo moja kubwa...
Speech zao za kuachana na CHADEMA na kujiunga tena (rejoin) CCM ni za kistaarabu sana, hazina matusi...
Ingekuwa nyakati za CCM ya Mwendazake, Polepole na Bashiru, ikatokea wamefanya usajili kama huu, basi mtu asingeshangaa kumuona Mwenyekiti wa CCM taifa akichagiza wahamiaji hawa kwenye hotuba zao kumtukana matusi mazitozito Ndg. Freeman Mbowe - M/kiti CHADEMA - Taifa mwanzo mwisho huku wajumbe wakikenua meno na kucheka kama majuha kufurahia ufirauni huo...!
Ila kwa leo, binafsi wala sina tatizo kwa watu hawa kuhama chama cha siasa hiki kujisajili chama kingine hata kama kurudi mara mbili au tatu..
Na kiukweli, siasa ni Utumishi, ajira na fursa pia. Kama hupati fursa kwenye chama A, nenda chama B au hata C...
Tunawatakia kila la kheri Nyalandu na Mathew pamoja na wengine wanaojiandaa kutoka CCM kwenda CHADEMA au CHADEMA kwenda CCM...
Speech zao za kuachana na CHADEMA na kujiunga tena (rejoin) CCM ni za kistaarabu sana, hazina matusi...
Ingekuwa nyakati za CCM ya Mwendazake, Polepole na Bashiru, ikatokea wamefanya usajili kama huu, basi mtu asingeshangaa kumuona Mwenyekiti wa CCM taifa akichagiza wahamiaji hawa kwenye hotuba zao kumtukana matusi mazitozito Ndg. Freeman Mbowe - M/kiti CHADEMA - Taifa mwanzo mwisho huku wajumbe wakikenua meno na kucheka kama majuha kufurahia ufirauni huo...!
Ila kwa leo, binafsi wala sina tatizo kwa watu hawa kuhama chama cha siasa hiki kujisajili chama kingine hata kama kurudi mara mbili au tatu..
Na kiukweli, siasa ni Utumishi, ajira na fursa pia. Kama hupati fursa kwenye chama A, nenda chama B au hata C...
Tunawatakia kila la kheri Nyalandu na Mathew pamoja na wengine wanaojiandaa kutoka CCM kwenda CHADEMA au CHADEMA kwenda CCM...