LGE2024 Nyalandu: CCM ikiyumba Tanzania itadorora, Maendeleo ya kweli yataletwa na CCM

LGE2024 Nyalandu: CCM ikiyumba Tanzania itadorora, Maendeleo ya kweli yataletwa na CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Waziri wa Zamani wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema Maendeleo ya kweli yataletwa na Chama cha Mapinduzi Akiwahimiza Wananchi kuwachagua Viongozi wa Serikali za Mitaa wanaotokana na Chama hicho Katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Akizungumza na Wananchi wa kata ya Msisi Wilaya ya Singida katika Mkutano wa Kampeni za wagombea wanaowania Uongozi wa Serikali za Mitaa kupitia chama hicho Nyalandu Amesema Chama Hicho Kina Viongozi wenye Maono Makubwa ya kuiletea Maendeleo Tanzania Akisisitiza kuwa Bila CCM imara Tanzania Itadorora.

Amesema Serikali Chini ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan Imeyagusa Maisha ya watanzania wote hasa wa Mkoa wa Singida Akitolea mifano Miradi ya Skimu za Umwagiliaji ambazo zinakwenda kuwasaidia Wakulima Kuvuna zadi ya Mara mbili.
 
Jamaa alipotea sana akàwa nyumbu, sasa akili zimerudi.
Sijui kama enzi zile za kutakiwa kuwa rais na wamarekani zitarudi!
Msalimie Masha.
 
Takataka hili nalo linatete uteuzi..... 63 yrs hakuna maendeleo , leo eti CCM italeta maendeleo
 
Mwanasiasa hakuwahi kukosa la kusema...ni sehemu yake ya majukumu
 
Back
Top Bottom