Tetesi: Nyalandu hagombei ubunge!

Tetesi: Nyalandu hagombei ubunge!

Safi sana, kuna uwezekano "gharama yeyote " ilishaanza tumika kwa ajili ya hilo jimbo...

Poleni mabilionea wa Kijani

Nashauri chadema nao watumie "Gharama yeyote" kuukomboa "rasmi" mkoa huo
Yap, kama wao wayatumia silaha za moto (policcm) wao watumie za jadi.
 
Kama nguvu ya umma imepotea kwanini ccm ya awamu ya 5 inatumia jeshi kuliko hata makaburu ?
Lema alituaminisha kuwa hakuna jeshi wala bunduki imewahi kuishinda NGUVU YA UMMA.
CHADEMA ya siku hizi inamprove wrong.
Hoja hapa ni kuwa aidha leo tunakiri chama kimepoteza NGUVU YA UMMA ndo maana tunalalamikia jeshi la polisi,
au Lemma alikuwa anatupiga fix tu.
Maana haiwezekani chama ambacho UMMA umewahi kuhamasika hadi kupambana na hata JW kule Mbeya kwa siku tatu na mpaka serikali ikasalimu amri na kumleta Sugu kumaliza vita. Eti leo tunalalamika polisi wamekuja na bunduki?
Tukubali ukweli CHADEMA ilishauzwa 2015.
Kwa sasa acha tule ruzuku tu!
 
Nyalandu akipita kwa hao wananchi sijui atakuwa anawaambia nini asee
 
Mkuu labda nikutaarifu tu mpango ambao umesukwa ni kutaka Nyalandu agombee jimbo la Arusha mjini mwaka 2020, Lema atakwenda Hai na Mbowe aende Moshi mjini na hapo ndio vita kati ya Mbowe na Jafarry Michael itakapofufuka...lkn Nyalandu akiingia Arusha ndio stori yake kisiasa itakwisha
nimesikia huu mkakati..ila hili ni kosa kubwa kwa mtazamo wangu. hawa wanafikiri hali hapa chuga ni kama miaka nane kumi iliopita.hili jimbo wanalipoteza hawa.
na pia jitihada hizi zinaonyesha chama hakiutaki U-rais!
 
Kama ni kweli basi inawezekana kapima uelekeo wa upepo!
 
Mi ningekuwa mwenyekiti wa chadema ningewaambia wote wa pandishe dau sio chini ya 1B halafu baada ya mwaka warudi tutumie hizo hela kuanza kampeni
 
Mkuu labda nikutaarifu tu mpango ambao umesukwa ni kutaka Nyalandu agombee jimbo la Arusha mjini mwaka 2020, Lema atakwenda Hai na Mbowe aende Moshi mjini na hapo ndio vita kati ya Mbowe na Jafarry Michael itakapofufuka...lkn Nyalandu akiingia Arusha ndio stori yake kisiasa itakwisha
Kwanini unamuweka mjini wakati Nyalandu nyumbani kwake ni Arumeru Magharibi
 
Back
Top Bottom