Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Yap, kama wao wayatumia silaha za moto (policcm) wao watumie za jadi.Safi sana, kuna uwezekano "gharama yeyote " ilishaanza tumika kwa ajili ya hilo jimbo...
Poleni mabilionea wa Kijani
Nashauri chadema nao watumie "Gharama yeyote" kuukomboa "rasmi" mkoa huo