Nyalandu kuwakabili Lissu, Mchungaji Msigwa?

Kuna kile chama form ya ugombea uRais ipo moja tu.Wengine hakuna kugombea na ukijaribu kugombea unavuliwa uanachama.Hivi ni chama hicho jina limenitoka [emoji23][emoji23][emoji23]
Chama cha Matanga
 
alifaulu vizuri na kujiunga na Shule ya Sekondari Ilboru ambako alisoma kidato cha tano na sita.
Kama alisoma Ilboru, itakuwa sio alifaulu vizuri, bali ni alifaulu vizuri sana kwa kupata DIV 1 kali, ndipo akaweza kuchaguliwa Ilboru!.
Watu wanaopita Ilboru wako vizuri!.
Mwingine ni huyu
Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.

Hivyo wana Ilboru 2 wanachuana kugombea kuteuliwa Chadema!, they are both good hivyo kazi ya uteuzi itakuwa ngumu!

P
 
Hata wachawi pia hugalagala msiban,hii nafasi anafaa chuma kimoja tu ambaye anatua hv punde
 
Sawa, CDM wao hanawa mwiko kutanganza nia, kuchukua form na kugombea ngazi yoyote ile ikiwemo URAIS wa nchi...cha msingi tu mwanachama awe hai na umekidhi vigezo vyote vya ngazi husika.
 
Una ubaguzi mbona hata Msigwa alikuwa TLP ndio akahamia Chadema?

Nikikuambia Nyalandu hapana sina shaka na msimamo wangu. 95% ya walioenda ccm kuunga juhudi ni wale waliokuja na mafuriko ya Lowasa. Nyalandu hakuja na mafuriko ya Lowassa, lakini ni rahisi kurubunika na ccm kwa ahadi ya cheo, maana bado ana harufu ya ccm.
 
Kwa hiyo wahamiaji toka CCM wanaruhusiwa kuwa wapiga kura wenu tu sio wagombea? Demokrasia gani hiyo? Na nyie mnajiita chama Cha demokrasia? Kama ni uhamiaji Lisu pia alitokea NCCR kwa Mbatia baki la Mbatia Hilo pia Msigwa alitokea TLP ya Mrema baki la Mrema hilo
 

Watu toka ccm wagombee udiwani au hata ubunge nao ni kwa shingo upande, lakini sio urais. Waliotoka TLP & NCCR wangalau wana damu ya upinzani, sio hao wahuni toka ccm.
 
CDM inahitaji kuwa makini sana hapo katika suala la mgombea wao. Waepukana na yale makosa (mengi) yaliyofanyika hapo awali.

Kumpata mgombea ambaye ni trustworthy ndani ya chama ni task moja muhimu sana ambayo watahitaji kuifanya.
 
Watu toka ccm wagombee udiwani au hata ubunge nao ni kwa shingo upande, lakini sio urais. Waliotoka TLP & NCCR wangalau wana damu ya upinzani, sio hao wahuni toka ccm.
Makundi yaliyohamia chadema Ni makubwa kuliko chadema waliowakuta na wengi wako huko msimamo ukiwa huo chadema inaenda kuparaganyika .Hayo makundi ya wahamiaji ndio yaliwapa kura nyingi na wabunge wengi mkiyabwaga itakula kwenu nawapa ushauri wa bure kabisa nisiohitaji hata Asante
 

Kura za cdm zilipatikana kutokana na kazi ya siasa waliyofanya toka baada ya uchaguzi wa 2010. Cdm ndio chama kilichoendesha elimu ya uraia nchi nzima, na kupandisha hamasa ya kupiga kura. Hao wanaccm waliokota embe chini mnaz hiyo 2015, usitake kuleta upotoshaji wa bei rahisi.
 
Chadema kweli mwaka huu wamefanya mambo kidemokrasia. Sio kama mwaka 2015 Mbowe alipokuja na Lowasa wake mfukoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…