Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
My wetu halafu ukute hili jina analitamka mwanamke mwenye miwowo na ni mweupee mwenye ngozi kama ya kitimoto mbona utapenda😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah 😂 🙌 😂 🙌 😂Takbiiir
Na ni busta kwenye ile kazi yetu.Jaribu siku moja supu ya kichwa na kongoro za kitimoto hakika utaenjoy.
#MaendeleoHayanaChama
Ulamaa! Kuna sehemu iliyojificha kidogo au Ni pa wazi kila mtu anakuona?Mko eneo gani natak iliyokaangwa mkuu
Na bia zipogo kidogoUlamaa! Kuna sehemu iliyojificha kidogo au Ni pa wazi kila mtu anakuona?
Kama chalamila
Endelea kubishaduh! mtakuja kulishwa mbwa aiseee
yaani bei ya mdudu ni ndogo kuliko hata ng'ombe
Endelea kubisha
Mdudu ana chinjwa tunamuona
Hauzwi kichochoroni wewe
Ukitaka mbichi unachukua
Roast,kavu wanakutengenezea
Kaa huko huko kwenu dar msije huku kwenye neema zetu
Viaz sado buku jero
Ndizi mzuzu moja mia mbili
Mahind debe buku tano
Mahind choma mia tatu moja
Nyama ya ng'ombe buku sita kilo
Mbuz mzima hai elfu 20
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mmh Tanzania hii hii au Kuna ingine?Endelea kubisha
Mdudu ana chinjwa tunamuona
Hauzwi kichochoroni wewe
Ukitaka mbichi unachukua
Roast,kavu wanakutengenezea
Kaa huko huko kwenu dar msije huku kwenye neema zetu
Viaz sado buku jero
Ndizi mzuzu moja mia mbili
Mahind debe buku tano
Mahind choma mia tatu moja
Nyama ya ng'ombe buku sita kilo
Mbuz mzima hai elfu 20
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tz hii hii mkuuMmh Tanzania hii hii au Kuna ingine?
Wapi huko, XMAS inakaribia, nifuate mbuzi!Mbuz mzima hai elfu 20
Ukiagiza na mm nshtue natak mmoja,acje akawa mbuzi kuku 20k😅😅😅😅😅Wapi huko, XMAS inakaribia, nifuate mbuzi!