figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Hahahahhahahahahahahhahahahahahhahahahahhahahahahhahahahahahahhahahahahahhahahahahhahahahahahahahhahahahahahahah😅😅😅😅😅😅🤩🤩🤩🤩🤭🤭🤭🤭Mbuzi wa Kenya wanashindia makaratasi ya big g chakula hamna. Huo utamu wataupata wapi?
Mbuzi wa Kenya au nyama ya Kenya si tamu.
Nimekula nyama pale Ndarara, Last, Mchukini au pale Rombo ya kenya, Njukini, Sitafu. Nimejihakikishia Kenya hamjawahi kula nyama tamu.
Njooni Weruweru Mnadani mule nyama zenye ladha.
Kenya mnakwama wapi?
Maganda ya big jii na mabaki ya mirungiMbuzi wa Kenya wanashindia makaratasi ya big g chakula hamna. Huo utamu wataupata wapi?
Hahaha mbuzi anakula mirungi alafu awe mtam , ww umeshaona wapi ?Mbuzi wa Kenya au nyama ya Kenya si tamu.
Nimekula nyama pale Ndarara, Last, Mchukini au pale Rombo ya kenya, Njukini, Sitafu. Nimejihakikishia Kenya hamjawahi kula nyama tamu.
Njooni Weruweru Mnadani mule nyama zenye ladha.
Kenya mnakwama wapi?
HahahaaaaMbuzi wa Kenya wanashindia makaratasi ya big g chakula hamna. Huo utamu wataupata wapi?
Hahahaha, karibu kwenye nchi iliyobarikiwa, nchi ya maziwa na asali.Threads like this tell the kind of clowns we are dealing with down south. [emoji706] [emoji706]
Karibu ule kondoo wa kwetu hukuThreads like this tell the kind of clowns we are dealing with down south. [emoji706] [emoji706]
Ila jamani kuna hawa mbuzi kinondoni hua sijui wa nani saa moja kasoro asubuhi tayari wapo ktk utafutaji, wakubwa hatari na wanazaa haswambuzi wa tz hasa wa dar wanajichunga na kuvuka barabara kupitia zebra crossing. lazma wawe wa
tamu
Is it true that Kenyans goat meat is not delicious?Threads like this tell the kind of clowns we are dealing with down south. [emoji706] [emoji706]
Nilisikia hao mbuzi mwenyewe alifariki, Sasa hivi wanazurura mjini tu.Ila jamani kuna hawa mbuzi kinondoni hua sijui wa nani saa moja kasoro asubuhi tayari wapo ktk utafutaji, wakubwa hatari na wanazaa haswa
Sasa si wakamatwe wachunjwe au nini kitatokea?Nilisikia hao mbuzi mwenyewe alifariki, Sasa hivi wanazurura mjini tu.
mbuzi wa zazeli haoIla jamani kuna hawa mbuzi kinondoni hua sijui wa nani saa moja kasoro asubuhi tayari wapo ktk utafutaji, wakubwa hatari na wanazaa haswa
Wakenya wakisikia hivyo wanatuona wapumbavu vipi mbuzi zizurure mjini bila mwenyewe wakati wao wako na njaa mobuNilisikia hao mbuzi mwenyewe alifariki, Sasa hivi wanazurura mjini tu.
Mbuzi wapi tena jamani? Kwani nao wanaitwa mbuzi au viburudisho?Dahhhh....
Nilivyoona heading, nimekuja mbio nikijua ni mbuzi wetu waleee....😜🤓