Nyama ya Mbuzi wa Kenya sio watamu kama wa Tanzania

Nyama ya Mbuzi wa Kenya sio watamu kama wa Tanzania

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mbuzi wa Kenya au nyama ya Kenya si tamu.

Nimekula nyama pale Ndarara, Last, Mchukini au pale Rombo ya kenya, Njukini, Sitafu. Nimejihakikishia Kenya hamjawahi kula nyama tamu.

Njooni Weruweru Mnadani mule nyama zenye ladha.

Kenya mnakwama wapi?

images.jpg
images-1.jpg
images-2.jpg
images-3.jpg
 
mbuzi wa tz hasa wa dar wanajichunga na kuvuka barabara kupitia zebra crossing. lazma wawe wa
tamu
 
Mbuzi wa Kenya au nyama ya Kenya si tamu.

Nimekula nyama pale Ndarara, Last, Mchukini au pale Rombo ya kenya, Njukini, Sitafu. Nimejihakikishia Kenya hamjawahi kula nyama tamu.

Njooni Weruweru Mnadani mule nyama zenye ladha.

Kenya mnakwama wapi?
Mbuzi wa Kenya wanashindia makaratasi ya big g chakula hamna. Huo utamu wataupata wapi?
Maganda ya big jii na mabaki ya mirungi
 
Mbuzi wa Kenya au nyama ya Kenya si tamu.

Nimekula nyama pale Ndarara, Last, Mchukini au pale Rombo ya kenya, Njukini, Sitafu. Nimejihakikishia Kenya hamjawahi kula nyama tamu.

Njooni Weruweru Mnadani mule nyama zenye ladha.

Kenya mnakwama wapi?
Hahaha mbuzi anakula mirungi alafu awe mtam , ww umeshaona wapi ?
 
mbuzi wa tz hasa wa dar wanajichunga na kuvuka barabara kupitia zebra crossing. lazma wawe wa
tamu
Ila jamani kuna hawa mbuzi kinondoni hua sijui wa nani saa moja kasoro asubuhi tayari wapo ktk utafutaji, wakubwa hatari na wanazaa haswa
 
Back
Top Bottom