Nyama za pua kwa mtoto

Nyama za pua kwa mtoto

Ili Tatizo sio kwa watoto tu ata watu wazima.mie mwenyewe ili tatizo la vinyama puani linakera mno kwani kila siku wewe unaonekana ni mtu wa mafua tu na usiku hulali vizuri CHAFYA za kila mara yani kero mie nilikua na ili tatizo na nikawa napewa EPHRIDINE NASAL DROP naweka vimatone viwili then pua zinaachia lakini hali iliendelea ikawa kero zaidi ndo mwaka 2008 nikiwa BUKOBA akaja dr from kenya wa ENT ndo akanifanyia operation kwakweli niliumia sana na nilikaa hospital almost 7 dayz baada ya apo hali ilikua nzuri sana mafua yakakauka na kuhema kukawa vizuri...Dawa ni operation tu
 
Nyama za puani zina uhusiano na familia zenye ugonjwa wa pumu au asma kwahiyo badala ya pumu mtuanapata sinus, kikubwa zaidi ni allergies.
 
Msaada jamani. Naweza kutuliza vipi maumivu/kero ninazopata kwa kuwa na nyama za pua? At least kwa muda maana nilipo siwezi kumuona daktari.
 
Nadhani huo ugonjwa una uhusiano na allergy. I had similar problem ya pua kuziba nilimuona doctor bingwa wa pua koo na masikio Agha khan anaitwa Prof Mushi au Moshi kama sikosei, akanipa dawa ya sprey akanambia kama sitapata nafuu after six months nimuone ili anifanyie operation. But now niko fresh kabisa baada ya kutumia sprey na hiyo sprey ukiisom ni ya kusaidia allergy.


Sasa sijuhi ni kwa nini tatizo la allergy linazidi kukua Tz; labda pollution au vyakula.
Jina la hyo spray ndugu, 0715 577 628

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay
Kuna huu ugonjwa sasa hivi unakuwa common hapa Arusha, I know like 4 to 5 friends ambao watoto wao wamesumbuliwa na hizi nyama za pua na ikabidi wafanyiwe operation hapa SELIAN HOSPITAL. Dalili za nyama za pua mtoto anakuwa anahema kwa shida especially akiwa amelala na pia anakuwa na flue ya mara kwa mara. Ikabidi nami nichukue tahadhari jana nami nikampeleka mtoto hospitali Njiro kwa Dr Mremi. Dr alisema nae pia ana hizo nyama za pua hivyo akapewa dawa ya ku spray na ya kunywa. Through experience from my friends whom their kids have suffered already, ni kwamba hii dawa ya ku spray inaongeza hizi nyama kukua ambapo inabidi afanyiwe operation.

SWALI.

1. Haya matatizo yanasababishwa na nini?
2. Kwanini ma Dr wanaendelea kuto hii dawa ya ku spray?
3. Kwanini hii operation ni ghali hivi tshs 650,0000/=
 
Back
Top Bottom