mwenyeKitu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 946
- 771
Kwa kipindi cha hivi karibuni nimekutana na cases kama nne hivi za watoto wadogo kuota nyama Puani zinazowasababishia matatizo ya kupumua. ..
Ma Dr. Mnaweza kutoa ushauri namna ya kukinga hii kitu ....na kama kuna ushauri wowote
Ma Dr. Mnaweza kutoa ushauri namna ya kukinga hii kitu ....na kama kuna ushauri wowote