Ndio nchi yetu hii kila kitu kinawezekana hakuna consistence kwa utajiri wa mtu, unaweza amaka january 2013 huna kitu kabisa na umekata matumaini lakini kufikia December wewe ni millionaire kutokana na kukutana na deal za ajabu ajabu kama hizi za kina Nyambari NyangwineNashangaa eti vitabu vya mtu kama huyu vinatumika shuleni!Siwezi kushangaa kuona utaahira unaongezeka kwa wahitimu wetu iwapo vitabu ndo vya huyu jamaa!Mbona anaonekana kuwa na uwezo mdogo sana kiakili?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Nilikusikiliza jana unlipokuwa unachangia hotuba ya wizara ya mambo ya vijana michezo na utamaduni, huku ukiwaponda wanamziki wa kisasi kipya. Katika mchango wako kilichoniudhi ni kitendo cha kudai kuwa wewe ni mchapishaji wa vitabu mnastahili kusaidiwa na serikali kuliko wanamuziki wa kizazi kipya. Ndugu yangu Nyambari wewe unapaswa kulaaniwa kwa uchafu uliouleta kwenye mfumo wetu wa elimu kwa kuchapisha vitini. Wewe ni mchafuzi wa elimu. Umechangia kulingamiza taifa, Unapaswa kuogopwa kama ukoma, maana umepenyeza rushwa mpaka vitini vimekuwa vitabu vy kiada shuleni.
Tatoo, VITA NI VITA. Si afadhali uneomba uwanja wa michezo wa mpira ili tupunguze vita ya mapanga Poti. Je unajua kuwa vitabu vyako vinachangia kuua elimu Tanzania?hapa sawa
Nashangaa eti vitabu vya mtu kama huyu vinatumika shuleni!Siwezi kushangaa kuona utaahira unaongezeka kwa wahitimu wetu iwapo vitabu ndo vya huyu jamaa!Mbona anaonekana kuwa na uwezo mdogo sana kiakili?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums