Nilikusikiliza jana unlipokuwa unachangia hotuba ya wizara ya mambo ya vijana michezo na utamaduni, huku ukiwaponda wanamziki wa kisasi kipya. Katika mchango wako kilichoniudhi ni kitendo cha kudai kuwa wewe ni mchapishaji wa vitabu mnastahili kusaidiwa na serikali kuliko wanamuziki wa kizazi kipya.
Ndugu yangu Nyambari wewe unapaswa kulaaniwa kwa uchafu uliouleta kwenye mfumo wetu wa elimu kwa kuchapisha vitini. Wewe ni mchafuzi wa elimu. Umechangia kulingamiza taifa, Unapaswa kuogopwa kama ukoma, maana umepenyeza rushwa mpaka vitini vimekuwa vitabu vy kiada shuleni.
Ndugu yangu Nyambari wewe unapaswa kulaaniwa kwa uchafu uliouleta kwenye mfumo wetu wa elimu kwa kuchapisha vitini. Wewe ni mchafuzi wa elimu. Umechangia kulingamiza taifa, Unapaswa kuogopwa kama ukoma, maana umepenyeza rushwa mpaka vitini vimekuwa vitabu vy kiada shuleni.