Nyambizi iliyopotea mpaka kesho saa 9 alasiri itaishiwa oxygen

Nyambizi iliyopotea mpaka kesho saa 9 alasiri itaishiwa oxygen

The Genius

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2018
Posts
822
Reaction score
2,095
Siku tatu zilizopita chombo cha submersible kimepotea ndani ya maji katika bahari ya Atlantic, ndani yake kuna watu 5 wote wanaume.

Chombo hiki kinaweza kuzama mpaka umbali wa mita 3,800 chini ya bahari, sawa na futi 12,500.
Kinaweza kukaa na hewa ya oxygen kwa muda wa saa 99 pekee, na huu muda unatarajiwa kuisha kesho Alhamis mida ya saa 9 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki.

Waokoaji wanaendelea na kasi kubwa sana ya kukikafuta hiki chombo ambacho kilikwenda kwa ajili ya utalii wa kuangalia mabaki ya meli ya Titanic.

Leo waokoaji wamesikia kelele za mawimbi ya chombo kwa maana kwamba kuna uhai, ila hawajajua kilipo.

FB_IMG_1687357858041.jpg
 
Siku tatu zilizopita chombo cha submersible kimepotea ndani ya maji katika bahari ya Atlantic , ndani yake kuna watu 5 wote wanaume.

Chombo hiki kinaweza kuzama mpaka umbali wa mita 3,800 chini ya bahari, sawa na futi 12,500.
Kinaweza kukaa na hewa ya oxygen kwa muda wa saa 99 pekee, na huu muda unatarajiwa kuisha kesho alhamis mida ya saa 9 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki.

Waokoaji wanaendelea na kasi kubwa sana ya kukikafuta hiki chombo ambacho kilikwenda kwa ajili ya utalii wa kuangalia mabaki ya meli ya Titanic.

Leo wokoaji wamesikia kelele za mawimbi ya chombo kwa maana kwamba kuna uhai, ila hawajajua kilipo.View attachment 2664510
Utalii mwingine ni kukitafuta kifo kwa tochi na kwa hiari.
 
Utalii mwingine ni kukitafuta kifo kwa lazima
Mbona watu wengi tu huwa wanafanya hizi expeditions. Sema tu hakuna teknolojia ambayo ni error proof...ndo hivi unasikia eti ndege ni usafiri salama kuliko wote lakini siku teknolojia ikikorofisha mdege ukaanguka ndo unajua ukomo wa uwezo wa mwanadamu.

Na uzuri wa hawa wenzetu ajali ikitokea huwa hawaishii tu kusema kuwa eti ni mapenzi ya Mungu bali huitumia kama darasa kujifunzia makosa yaliyotokea na kuyarekebisha ili ajali nyingine isije ikatokea kwa kisababishi kile kile!
 
Siku tatu zilizopita chombo cha submersible kimepotea ndani ya maji katika bahari ya Atlantic , ndani yake kuna watu 5 wote wanaume.

Chombo hiki kinaweza kuzama mpaka umbali wa mita 3,800 chini ya bahari, sawa na futi 12,500.
Kinaweza kukaa na hewa ya oxygen kwa muda wa saa 99 pekee, na huu muda unatarajiwa kuisha kesho alhamis mida ya saa 9 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki.

Waokoaji wanaendelea na kasi kubwa sana ya kukikafuta hiki chombo ambacho kilikwenda kwa ajili ya utalii wa kuangalia mabaki ya meli ya Titanic.

Leo wokoaji wamesikia kelele za mawimbi ya chombo kwa maana kwamba kuna uhai, ila hawajajua kilipo.View attachment 2664510
Mpaka sasa msako wa kusaka eneo la hayo mawimbi haujazaa matunda, wengine wanahisi huenda ilipasuka vipande. Sasa wameanza kuchonga juu ya faults za nyambizi mara ilikuwa inaongozwa kwa pad ya logich ya kuchezea game kwenye PC
 
Siri ambayo wazungu hawawezi kuiweka wazi, kipindi cha MELI ya TITANIC, kuna uovu mkubwa sanaa umefanyika kwenye ilee meli, yaani kukufuru kwa kiasi cha juu sana, kilikuwa kinafanywa cha kumkufuru Mungu

So hizi mambo zote ambazo zinaendelea ni Mungu anaonyesha ukubwa wake na hasira zake za tangu na tangu

Inaweza ikapatikana hiyo nyambizi/chombo kilichopotea, lakini juu ya yote ni ishara ya hasira ambayo anayo M/Mungu mtukufu anayo mpaka leo juu ya meli ya titanic na maovu yaliyokuwa yanafanywa humo na laana kubwa ya kumkufuru Mungu

Wazungu/wanasayansi wenyewe wanathibitisha kuwa wanavyoijua bahari 5% kati ya asilimia 100% so wameacha asilimia 95% hapo
 
Siku tatu zilizopita chombo cha submersible kimepotea ndani ya maji katika bahari ya Atlantic , ndani yake kuna watu 5 wote wanaume.

Chombo hiki kinaweza kuzama mpaka umbali wa mita 3,800 chini ya bahari, sawa na futi 12,500.
Kinaweza kukaa na hewa ya oxygen kwa muda wa saa 99 pekee, na huu muda unatarajiwa kuisha kesho alhamis mida ya saa 9 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki.

Waokoaji wanaendelea na kasi kubwa sana ya kukikafuta hiki chombo ambacho kilikwenda kwa ajili ya utalii wa kuangalia mabaki ya meli ya Titanic.

Leo wokoaji wamesikia kelele za mawimbi ya chombo kwa maana kwamba kuna uhai, ila hawajajua kilipo.View attachment 2664510
Ila Wazungu aisee...

Kwahiyo bado wana shida na TITANIC!??

Meli iliyozama 1912... Hata Tanganyika na Afrika havijulikani duniani.
 
Back
Top Bottom