Nyambura Moremi; Mwanasayansi bora aliyefutwa kazi na Rais Magufuli kwa kusimamia ukweli kuhusu vipimo vya virusi vya Corona

Nyambura Moremi; Mwanasayansi bora aliyefutwa kazi na Rais Magufuli kwa kusimamia ukweli kuhusu vipimo vya virusi vya Corona

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mama Samia amejibainisha kama Rais anayeheshimu utaalamu.

Samia ni tofauti na JPM, JPM japo alisoma sayansi mpaka PhD (kama ni kweli) aliyofundishwa na waalimu wake yote aliyakataa akiwa Rais.

Nyambura Moremi ndiye alikuwa akishughulika na kupima virusi vya corona, na kutoa kwake taarifa za kweli kulimponza.

Taifa lina deni dhidi yake, njia ya kuonyesha Kuna mahali taifa lilikwama ni kumrudis
Screenshot_20220415-085544.jpg
ha kama alivyorudi Nehemiah Mchechu
 
Mama Samia amejibainisha kama Rais anayeheshimu utaalamu.

Samia ni tofauti na JPM, JPM japo alisoma sayansi mpaka PhD (kama ni kweli) aliyofundishwa na waalimu wake yote aliyakataa akiwa Rais.

Nyambura Moremi ndiye alikuwa akishughulika na kupima virusi vya corona, na kutoa kwake taarifa za kweli kulimponza.

Taifa lina deni dhidi yake, njia ya kuonyesha Kuna mahali taifa lilikwama ni kumrudisView attachment 2187983ha kama alivyorudi Nehemiah Mchechu
Mama Samia amejibainisha kama Rais anayeheshimu utaalamu.

Samia ni tofauti na JPM, JPM japo alisoma sayansi mpaka PhD (kama ni kweli) aliyofundishwa na waalimu wake yote aliyakataa akiwa Rais.

Nyambura Moremi ndiye alikuwa akishughulika na kupima virusi vya corona, na kutoa kwake taarifa za kweli kulimponza.

Taifa lina deni dhidi yake, njia ya kuonyesha Kuna mahali taifa lilikwama ni kumrudisView attachment 2187983ha kama alivyorudi Nehemiah Mchechu
ALIKUWA NI KIONGOZI WA AJABU SANA,ASIYEIAMINI SAYANSI PAMOJA NA UANASAYANSI WAKE FAKE!
 
Back
Top Bottom