Nyambura Moremi; Mwanasayansi bora aliyefutwa kazi na Rais Magufuli kwa kusimamia ukweli kuhusu vipimo vya virusi vya Corona

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mama Samia amejibainisha kama Rais anayeheshimu utaalamu.

Samia ni tofauti na JPM, JPM japo alisoma sayansi mpaka PhD (kama ni kweli) aliyofundishwa na waalimu wake yote aliyakataa akiwa Rais.

Nyambura Moremi ndiye alikuwa akishughulika na kupima virusi vya corona, na kutoa kwake taarifa za kweli kulimponza.

Taifa lina deni dhidi yake, njia ya kuonyesha Kuna mahali taifa lilikwama ni kumrudisha kama alivyorudi Nehemiah Mchechu
 
ALIKUWA NI KIONGOZI WA AJABU SANA,ASIYEIAMINI SAYANSI PAMOJA NA UANASAYANSI WAKE FAKE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…