Dah naona nyota nyota tuMkenya huyu anahatari! umkute anahojiana na Jeff Koinange,utakimbia
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Nmeona American na trump tu.
Acha tu aisee ngoja nitafute mjukuu wa kunsaidia[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Ni uzee tu mkuu, macho yamepoteza mwangaza tuwaachie vijana
Tafuta mjukuu akusomee tu mzee mwenzangu au mwite madam MC papai[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Acha tu aisee ngoja nitafute mjukuu wa kunsaidia