Nyani Ngabu Kafa!!!!

Nyani Ngabu Kafa!!!!

Status
Not open for further replies.
Mwenye kutaka kuamini na aamini na asiyetaka kuamini na yeye asiamini ila sisi ndugu zake wa karibu tunaendelea kuomboleza. Mnaochukulia hili jambo kwa masihara hiyo ni juu yenu na uamuzi wenu kama manavyofanya kuhusu Balali!
Poleni sana MUNGU aiweke ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI!
 
Hii habari sio kweli kabisa!yaani kama ni kweli isingewekwa kwenye jokes na udaku
 
Mie siamini, maana hata anayejiita Binamu wa Nyani Ngabu anakuwa anamajibu ya jeuri.
 
Habari zinazoingia sasa ni kwamba yule mwanachama mwenzenu ajulikanaye kama Nyani Ngabu amekufa mapema alfajiri leoo hii kwa kupigwa risasi. Habari zaidi zitafuata baadaye.....

...ndio matatizo ya kuto ku log off hayo, 'mzuka wake' utaendelea kutu ~haunt~ humu'!

D'you kno'wot i mean?
 
Jamani inawezekana kweli nimetoka kumpigia simu inaingia moja kwa moja kwenye voicemail. Naomba hii iondolewe kwenye jokes. Mbona ya Balali mmeweka sticky? Na hii iwekwe sticky pia.

RIP Nyani, I wish Ngabu Ngabu ndiye agepigwa risasi au Raj Patel.
 
Binamu wa Nyani,
badilisha password kabla forum haija ji log off ili uwe unatupa upates kwa kutumia username yake marehemu Nyani.
 
Ndugu yangu usipuuzie hata kidogo habari hizi......Mimi ni ndugu yake wa karibu sana...

Ndugu yake wa karibu sana!!!! Badala ya kushughulikia mazishi na labda kuanza kutafuta michango ili kuusafirisha mwili wa marehemu kwa mazishi upo mtandaoni unapiga soga!!!!!? 😕😕😕😕😕😕😕
 
Binamu wa Nyani,
badilisha password kabla forum haija ji log off ili uwe unatupa upates kwa kutumia username yake marehemu Nyani.

Mods, msiruhusu hili. Tufanye uchunguzi ili kuhakikisha kwamba hichi kifo kweli kimetokea, lakini kuruhusu mtu mwingine hata kama ni ndugu wa karibu wa mwanachama wa JF atumie username ya mwanaJF mimi siliafiki hata kidogo hili. Kujiandikisha uanachama hapa haichukui hata dakika tano. Ajiandikishe halafu atumie username yake ili kutupa habari kamili ya nini kinachoendelea.
 
Imewekwa kwenye udaku na ma moderator wanaojiona miungu watu...

Wewe uliiweka wapi? Na mwili wa marehemu uko wapi? na mipango ya mazishi inaendeleaje? Usifanye masihara na mambo ya kifo. Kama unafanya masihara basi ni bora utufahamishe mapema, vinginevyo unajishushia hadhi yako hapa JF.
 
Habari zinazoingia sasa ni kwamba yule mwanachama mwenzenu ajulikanaye kama Nyani Ngabu amekufa mapema alfajiri leoo hii kwa kupigwa risasi. Habari zaidi zitafuata baadaye.....

Msalimie Balali mwambie tunahitaji chenji yetu.
 
Habari zinazoingia sasa ni kwamba yule mwanachama mwenzenu ajulikanaye kama Nyani Ngabu amekufa mapema alfajiri leoo hii kwa kupigwa risasi. Habari zaidi zitafuata baadaye.....
MUNGU MKUBWA HABARI NJEMA HIZI! ANGALAU TATIZO MOJA LIMEPUNGUA.....huyu jamaa alikuwa anaamini waafrika hatuna akili wakati yeye mwenyewe ni mwafrika sasa kwakuwa AMEKUFA basi ni bora kwani hatoweza kuwarithisha watoto wake yale aliyorithishwa na wazazi wake na wazazi wake yale waliorithishwa na wazazi wao... manake nilikuwa nafikiria ni jinsi tunaweza kuokoa hicho kizazi cha watu kama huyo nyani... sasa maadamu naona nature imefanya kazi na kumuondoa huyu mtu basi kazi moja imepungua.....lkni kazi bado tunayo ya kuweza kudili na wengineo waliobakia humu tuombee tuu nao wafe vinginevyo inabidi tutafute jinsi ya kuwanyang'anya watoto wao .....
 


Guys & Dolls,

attention to details pseeeeeeeeee.....

...Mungu wangu!, yaani kweli kuna watu wanaamini Nyani Ngabu kapigwa risasi kiukweli ukweli, achilia mbali kafa!????...

Mkuu hebu come clean on this bwana uwaondoe hofu wanajamii, usijitilie uchuro buree, kuna watu wataanza kuchangishana hapa!

Long Live NyaniNgabu, Long Live wanachama wooote wa JF...

Mw'Mungu akuepushie 'uchuro' huo...
 
I like your idea Nyani, nimekaa hapa nasubiri u press ile main button ya kutoa bank details ili wana JF humu tutoe michango yetu ya kumsafirisha marehemu! Au ndio unaandaa bajeti ili utupe kitu kamili?
 
Wewe binamu ya Nyani Ngabu kama ulivyojitambulisha umetoa tu taarifa ya kifo bila kusema hata moja linaloendelea na sisi tutashiriki vp huo msiba.Kama wengine walivyokwisha sema muda huu ulikuwa wa ww kuangalia jinsi ya kusafirisha mwili na michango kama inaitajika ila hili hatulioni.

tunatumia muda mwingi kujadili hili jambo ambalo likisibitika sio ni energy & time waste.
 
MUNGU MKUBWA HABARI NJEMA HIZI! ANGALAU TATIZO MOJA LIMEPUNGUA.....huyu jamaa alikuwa anaamini waafrika hatuna akili wakati yeye mwenyewe ni mwafrika sasa kwakuwa AMEKUFA basi ni bora kwani hatoweza kuwarithisha watoto wake yale aliyorithishwa na wazazi wake na wazazi wake yale waliorithishwa na wazazi wao... manake nilikuwa nafikiria ni jinsi tunaweza kuokoa hicho kizazi cha watu kama huyo nyani... sasa maadamu naona nature imefanya kazi na kumuondoa huyu mtu basi kazi moja imepungua.....lkni kazi bado tunayo ya kuweza kudili na wengineo waliobakia humu tuombee tuu nao wafe vinginevyo inabidi tutafute jinsi ya kuwanyang'anya watoto wao .....


Duh wewe kiboko,ila mimi naona kama kweli hivyo ndivyo unavyo feel au kuona sahihi sema ukweli wako .Thankyou for be honest on this ,yah !
 
Mwenye kutaka kuamini na aamini na asiyetaka kuamini na yeye asiamini ila sisi ndugu zake wa karibu tunaendelea kuomboleza. Mnaochukulia hili jambo kwa masihara hiyo ni juu yenu na uamuzi wenu kama manavyofanya kuhusu Balali!

Mkubwa hasira hazitakiwi, sisi tunalewa kabisa kwamba jambo la Kifo kila mtu lazima litamshtua lakini kwa jinsi ulivyoileta habari hamna atakayekuelewa bwana BINAMU ina maana wewe muda wote huo hujawahi kujiandikisha JF ukazileta hizi habari kupitia ID yako? Hii inakuwa kama Hadithi za Mfalme Juha.

Tuambie taratibu zinakwendaje na msiba upo wapi asubuhi na mapema tuje ili tujumuike na kutoa rambirambi pamoja na kutoa taarifa iliyothibitika hapa JF.
 
baada ya Hillary kupoteza matumaini na ngabu kaamua kumfata kwa kujilipua heee heee mwaka huu kazi


tusalimie sana Br Ditto Ballali na wengine waambie JF inaendelea kuchambua karanga.
 
...michango ya mazishi napokea mie!! kwa taarifa zaidi ni-PM, sipokei chini ya $$100 (jiti la kinyamwezi)....tafadhalini naomba tujitahidi na hivyo "vijisenti" ili zoezi hili la kumsitiri mwezetu liwe lenye mafanikio na mfano wa kuigwa/ushirika wetu kana ndugu ktk shida, dhiki, misukosuko na raha hapa JF!!

asanteni...YNIM.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom