Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Ilikuwaje ukapotea kwa muda mrefu. Au shem aliloweka simu yako ?SIO KWELI
Dah, usiniambieNasikia ndiye 'jasiri mwongoza njia'.
Siunajua alipo?
Upo wapi mpendwa hadi msiba Wa Taifa umekupita mpendwa?Ruge amefariki lini??
hamna hata basi tuIlikuwaje ukapotea kwa muda mrefu. Au shem aliloweka simu yako ?
Pole
Hujamfananisha na Nokia ndie aliyeaga hivyoKuna mahali niliona anaaga, anaenda likizo ya kumlea mkewe uzazi!
OooohHujamfananisha na Nokia ndie aliyeaga hivyo
Ongezea na hiiNyani Ngabu ana ID Nne humu ndani
Ya kwanza
"Nyani Ngabu"
Ya pili
"Julius"
Ya tatu
"Bwanchuchu"
Ya NNE
Ustaadh Swalehe
Usiulize nimezijuaje ni yeye mwenyewe wakati ana comment hayo majina yanajionesha
Mfano katika Uzi Fulani alikomenti kama nyani Ngabu
Kesho nikaona ile comment inetolewa na bwanchuchu hahahahah
Mods msinimind
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikumbushe na mimi zile id zangu nyingineOngezea na hii
Brasil (lakini mods waliiunga kwenye ID yake ya NN)
Julius Magembe
Unamfahamu vizuri ?
Upogo? Long time no see!
CC: KirangaKuna mahala nimeona tetesi kuwa huenda Nyani Ngabu hatuko naye duniani,
Nimepatwa na mshtuko kidogo kwani kama mwanafamilia wa JF naona kama
tumepoteza mtu muhimu ambaye lengo letu lilikuwa moja lakini tulitofautiana
Mitizamo.
Tafadhali Nyani Ngabu kama uko hai tunaomba ujitokeze, vinginevyo kama kuna
anayemfahamu Nyani Ngabu katika dunia ya kawaida tunaomba atupe taarifa.