Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
ID yake ilichafuka na nini mkuu?Zimeandikwa nyuzi nyingi sana humu kumhusu yeye lakini hajajitokeza kabisa nadhani baada ya ID yake kuchafuka akaizika sasa anatumia new unknown ID
Alipakwa oil chafu?Weird!Oil chafu; konki!
Mkuu mkuu ya kweli hayo au umeshafanya ujambazi wakoA Las Vegas police officer was arrested Tuesday and accused of misconduct after an internal,
Investigation police said. The Metropolitan Police Department accused one of
its own, Nyani Ngabu, of using “criminal justice information systems” to disseminate information to unauthorized people on multiple occasions, a Tuesday afternoon release said.
The department also
accused Ngabu of using a personal phone to record video of interactions with
people, a violation of
department policy.
One of those videos
included the person’s private area being recorded without
that person’s knowledge.
So anapumuliwa?Oil chafu; konki!
Id yake ilichafuliwaje mkuuZimeandikwa nyuzi nyingi sana humu kumhusu yeye lakini hajajitokeza kabisa nadhani baada ya ID yake kuchafuka akaizika sasa anatumia new unknown ID
Ila Nyani ni pro Clouds media sana,ulikuwa huwezi kuisema vibaya clouds akakuacha hivi hivi. Yaani ukimsema Kusaga,Ruge lazima awatetee.Kwa wale wote mnaohisi ngabu ni kibonde au ruge sio sawa kusema hivyo ..kama humfahamu ngabu bora utulie kuliko kulisha watu matango pori
Nyani ngabu tofauti na hao watu..linyani lipo kwa sura nyingine kabisa naona amekuwa mambo ya kitoto ameacha
Ila Nyani ni pro Clouds media sana,ulikuwa huwezi kuisema vibaya clouds akakuacha hivi hivi. Yaani ukimsema Kusaga,Ruge lazima awatetee.
Dah !!!... jf bwanatangu wanaomfahamu walipoanza kuweka wazi maisha yake, akaanza kuwa mpole na kuanza kupunguza ujuaji.
kuna mtu hapa jf aliwahi ku expose maisha ya bmkubwa wake mitaa ya mbezi,
kwamba licha ya kuishi kwake ughaibuni mda mrefu na mbwembwe za kujua kingereza, akija bongo huwa anafikia kwenye kibanda cha bmkubwa wake mbezi.
jf noma sana, wanaokujua wakiamua kukukalia kooni unaweza badili ID au unaweza kujipa likizo ya dharula ya kutoingia jf.
HahaHahahaha, asee
MTC | 101| [emoji769]
Hahaapm ni pamoja na dili za magari pia![emoji4][emoji4][emoji4]
HahaHuko hata ukimwangalia mtu vibaya unakula shaba