Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu mzee wa USA baby Yuko wapi? Nina muda sana sijamsoma humu au kubadili ID?
Duh hapana bwana,jasiri muongoza njia kisukuma alikijulia wapi? Atakuwa kala umeme labda.Nasikia ndiye 'jasiri mwongoza njia'.
Siunajua alipo?
Mkuu Washawasha unatafutwa hukuHahaaa... Na yule mzee wa "nalog off" pia amepotea[emoji4]
"Stand for the truth always stand alone"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiila kitu unajibu haujui.Unadhani utapata majawabu sahihi au utachezewa shere tu?Dada Jeni ndio nani?
Kweli eee?Duh hapana bwana,jasiri muongoza njia kisukuma alikijulia wapi? Atakuwa kala umeme labda.
Jamani...!Nasikia ndiye 'jasiri mwongoza njia'.
Siunajua alipo?
Ukimuacha Mzee wa "nalog off" tumebakiwa na "Mjinga mimi" huwa hawapotezi muda kabisa kuandika zaidi ya sentesi 1 tu [emoji1][emoji28]
"Stand for the truth always stand alone"
Sent using Jamii Forums mobile app
Marhaba Suriya habari yako
Mambo yashakua mengi siku hizi humuDah muda mrefu sana....wengi huwa wanabadili ID. Sasa hivi kuna ID nyingi mpya ila watu wale wale wa zamani
Mzee mwenzangu, tuendelee kumtafuta Mzee mwenzetu huyuNani? Mzee mwenzangu una data sana
Mhenga mwenzetu kapotea....sijui muda wetu umeisha hapa JF?
WashawashaHahaaa... Na yule mzee wa "nalog off" pia amepotea[emoji4]
"Stand for the truth always stand alone"
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti wanasema ni Ruge!
Tunaendelea kuandika.Ntajua tu kama hujui ama vinginevyo.Sasa kama sijui nidanganye?