Nyani wamnyakua mtoto mikononi mwa mama yake, afariki dunia

kwenye hili tukio kutakuwa na namna nyingine apa, nguvu za 'dark' zinahusika apa .................
Usipende sana uchawi ktk maisha yako... jifunze tabia za nyani utajua hilo tukio la kawaida linatokea
 
Iyo ishu utashangsa serikali ya Tz haitalipa hata fidia kwa uyo dada,, lakini binadamu angeua nyani ingekua big issue kwake.. hapo ndio huwa naona Upopoma wa serikali ya Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…