Nyanya inapofikia bei ya apple mateso yanaanzia hivi

Nyanya inapofikia bei ya apple mateso yanaanzia hivi

Yup
Yupo sahihi kabisa ila kuna namna imefanyika hiyo 700 ikawa 7000 ukitaka kujua hilo angalia original comment
Original ni hio nimequote, hio ulioona wewe ni edited. Still 700*10,000=7,000,000/= na sio 700,000/= wala hio alioandika 7,000,00/=
 
Kwa akili yako kweli nyanya moja inaweza kuwa tshs 7000 ?
Wewe ndio huna akili kabisa. Mwenzio kasema kilo 7,000 za nyanya, sio nyanya moja 7,000. Pia akapiga hesabu kilo moja 10,000/-. Haya siku ingine jifunze kusoma kwa umakini usikurupuke.
 
Back
Top Bottom