Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Unazipenda Mama mkwe farkhina Nyanya chungu? ngojea tumuita naye Mkuu utafiti na Mkuu BAK waje kuthibisha uzuri wa nyanya chungu njooni haraka munaitwa huku.mhh hizi ngogwe zipikwe na bamia la kukoroga ulichanganye na duvi au kiji nyanya kwa mbali uchome na kipande cha papa au umchanganye na bamia au hata bamia uliweke magadi kidogo na ugali wa kumix (dona) ntakula unisahau nyanya chungu peke yake hapana kabisa hazipandi MziziMkavu
Mhh hizi ngogwe zipikwe na bamia la kukoroga ulichanganye na duvi au kiji nyanya kwa mbali uchome na kipande cha papa au umchanganye na bamia au hata bamia uliweke magadi kidogo na ugali wa kumix (dona) ntakula unisahau nyanya chungu peke yake hapana kabisa hazipandi MziziMkavu
Duh. mbona kunitoa mate mwenzio? hiyo kitu sijaipiga looong time, hapa nawaza huyo papa ntamtoa wapi keshooo...sio vidhuriii hivoooo....
Vipimo
Nyanya za mshumaa/chungu 20 kiasi
Kitunguu 1
Nyanya/tungule 2
Mafuta ya zaytuni (olive oil) 3 vijiko vya supu
Pilipili mbichi 1
Kitunguu saumu(thomu/galic) 3 chembe
Chumvi kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
- Osha nyanya za mshumaa/chungu kisha zichemshe kidogo.
- Mwaga maji, menya maganda na ukatekate vipande vipande.
- Katakata kitunguu, nyanya vipande vidogovidogo (chopped)
- Saga au katakata pilipili mbichi na thomu.
- Weka mafuta katika sufuria, tia vitu vyote pamoja. Kaanga kwa muda huku unakoroga hadi iwive.
- Pakuwa katika chombo, nyunyizia mafuta ya zaytuni.
Mhh hizi ngogwe zipikwe na bamia la kukoroga ulichanganye na duvi au kiji nyanya kwa mbali uchome na kipande cha papa au umchanganye na bamia au hata bamia uliweke magadi kidogo na ugali wa kumix (dona) ntakula unisahau nyanya chungu peke yake hapana kabisa hazipandi MziziMkavu
Madame S umenikumbusha kwetu Tanga loooh, kwa bibi hapo nilikua natamani kula kila siku....mlenda wa bamia, papa na ugali...chini ya mwembe ukimaliza washushia na maji baridiiiiiiiiiiiii.
Na ndo nilipo tanga yaani papa sjui nguru mtaaAmu
Na ndo nilipo tanga yaani papa sjui nguru mtaaAmu
vipimo
nyanya za mshumaa/chungu 20 kiasi
kitunguu 1
nyanya/tungule 2
mafuta ya zaytuni (olive oil) 3 vijiko vya supu
pilipili mbichi 1
kitunguu saumu(thomu/galic) 3 chembe
chumvi kiasi
namna ya kutayarisha na kupika
- osha nyanya za mshumaa/chungu kisha zichemshe kidogo.
- mwaga maji, menya maganda na ukatekate vipande vipande.
- katakata kitunguu, nyanya vipande vidogovidogo (chopped)
- saga au katakata pilipili mbichi na thomu.
- weka mafuta katika sufuria, tia vitu vyote pamoja. Kaanga kwa muda huku unakoroga hadi iwive.
- pakuwa katika chombo, nyunyizia mafuta ya zaytuni.
Kuna mtu kasafiri huko juzi nimetuma aniletee papa akija....cant wait kupika na nazi na ugali wa mhogo, tamu balaa.
Madame S si bure utakuwa na asili ya Tanga.Mhh hizi ngogwe zipikwe na bamia la kukoroga ulichanganye na duvi au kiji nyanya kwa mbali uchome na kipande cha papa au umchanganye na bamia au hata bamia uliweke magadi kidogo na ugali wa kumix (dona) ntakula unisahau nyanya chungu peke yake hapana kabisa hazipandi MziziMkavu