msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,826
- 1,734
Mie nazipenda sana ziwekwe kwenye matembele/mchicha. Hata kwenye samaki iliyoungwa kwa nazi huwa bomba sana.
leo mmeamka ki njaa njaa tu mmesahau ya escrow jf bwana raha,,, mkimaliza ya ngogwe mtahamia kwenye vibamia