bashe tena akomae wakati ni mtuhumiwa?Ndiooo Bashe ,Komaa hapohapo.
Tupo Nyuma yako Kaka.
MPINA.bashe tena akomae wakati ni mtuhumiwa?
Kwa Tanzania haiwezekani kwa sababu wananchi ni wajinga. Lakini kwenye watu wenye akili inawezekana.Tangu lini Boss akawekwa pabaya na mfanyakazi wake. Punguzeni kusingizia watu
Mpo nyuma yake ama nyuma ya keyboard?Ndiooo MPINA ,Komaa hapohapo.
Tupo Nyuma yako Kaka.
Nimeona marehemu kuteuliwa ni marehemu gani huyo?Ndiooo MPINA ,Komaa hapohapo.
Tupo Nyuma yako Kaka.
Basi umekosea kuandikaMPINA.
Bashe ni Moja ya Adui mkubwa wa Watanzania.
Marehemu alieteuliwa ni marehemu gani huyo mwenye kisimati cha Paka kupendwa na wachawi?Tangu lini Boss akawekwa pabaya na mfanyakazi wake. Punguzeni kusingizia watu
Mpo nyuma yake ama nyuma ya keyboard?
Keyboard warriors
Mwanahalisi limerudi kwenye anga yake.
Ameshakwambia sio yeye wa kulaumiwa sio yeye mengine yeye hayamuhu hayo amesema wa kulaumiwa ni taasisi sio yeye msikilizeni vizuri Chura mumuelewe amesema sio yeye ni taasisi kwa hio ilaumuni taasisiHii nchi inaudhi sana! Mtu ameiba analindwa kwa faida ya nani?
Hapa kwa haraka mno ilibidi aliyemteua Bashe ampige chini haraka ili yeye akae kuwa mweupe
MPINI!!MPINA.
Bashe ni Moja ya Adui mkubwa wa Watanzania.
Bosi anajifanya kiziwi lazima awekwe pabaya na mtumishi wake.Tangu lini Boss akawekwa pabaya na mfanyakazi wake. Punguzeni kusingizia watu