Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Nilikuwa naona mashabiki wa simba wakiwananga yanga kwamba wamekutana na timu mbovu ndo maana wameshinda lakini na wao nashuhudia timu wanayocheza nayo ni yale yale kiziwi anamcheka kipofu,,Big bullets anaweza akawa ni bora kule kwao kutokana na ushindani wa chini wa ligi yao nikimaanisha kwenye wabovu lazima awepo kiongozi wao mwenye nafuu ndo iyo big bullets
Kiufupi timu zote Yanga na Simba tutaziona rasmi hatua inayofata ndo kipimo halisi na sio hizi timu walizokutana nazo hakuna anayeweza kujisifu eti ameshinda mechi ngumu,
ama Nyasa wangekuwa makini leo wangeondoka na goli zaidi ya 2 kwa nafasi walizotengeneza lakini ndo hivyo uwezo wao ni mdogo sana
Kiufupi timu zote Yanga na Simba tutaziona rasmi hatua inayofata ndo kipimo halisi na sio hizi timu walizokutana nazo hakuna anayeweza kujisifu eti ameshinda mechi ngumu,
ama Nyasa wangekuwa makini leo wangeondoka na goli zaidi ya 2 kwa nafasi walizotengeneza lakini ndo hivyo uwezo wao ni mdogo sana