Nyati Cement !

Yaaan umewaza Mpaka basi. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha kwenye lile tangazo akuna tingatinga mkuu
 
*hivi hakuna hata nyumba moja kati ya zile zilizobomolewa zilizojengwa kwa NYATI CEMENT?*
Kuna Nyumba kadhaa walishindwa ajili ya cement hiyo. Nadhan watatumia mabomu. Hii cement nimpinzani Wa maendeleo kiukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…