Jamani unyayo wangu ni mgumu sana kiasi kwamba nikikugusa naweza kukuchuna kabisa na kukutoa damu, nimejaribu kuangalia nyayo za watu wengine naona ni laini sana ukilinganisha na zangu, sasa hii imekuwa ikininyima raha hasa ninapokuwa na mamsap kitandani maana wakati mwingine huwa namuumiza kwa bahati mbaya.
Je ni ukosefu wa kitu fulani mwilini! au tatizo ni nini!!.