Monica Mgeni
Member
- Oct 7, 2021
- 82
- 134
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea na vikao vya ndani ambavyo vilianza kurindima tarehe 17/09/2022. Sasa tazama hizi picha kisha tafakari nini namaanisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una wenge inaonekana jamaa hajakupiga cha asubuhi.Tusubiri maazimio ya Vikao mtakuja kunishukuru
We mjane kweli asubi asubuhi na kutuma post Tafuta msukuma mkokoteni au ni pm Ushughulikiwe....Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea na vikao vya ndani ambavyo vilianza kurindima tarehe 17/09/2022. Sasa tazama hizi picha kisha tafakari nini namaanisha.
View attachment 2360417View attachment 2360416
Tusifanye kwa mihemko, tusubiri maazimioWe mjane kweli asubi asubuhi na kutuma post Tafuta msukuma mkokoteni au ni pm Ushughulikiwe....
No please.Monica this is too cheap dada yangu. Unajishusha heshima katika jamii kwa mambo kama haya
We mjane kweli asubi asubuhi na kutuma post Tafuta msukuma mkokoteni au ni pm Ushughulikiwe....
Labda Mbowe na Mnyika washindwe, la sivyo mtasikiaMonica this is too cheap dada yangu. Unajishusha heshima katika jamii kwa mambo kama haya
Lakn bado hamwezi shindana nao.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea na vikao vya ndani ambavyo vilianza kurindima tarehe 17/09/2022. Sasa tazama hizi picha kisha tafakari nini namaanisha.
View attachment 2360417View attachment 2360416
zamani kidogo ujinga kama huu ulikuwa unafutwa hapa jfChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea na vikao vya ndani ambavyo vilianza kurindima tarehe 17/09/2022. Sasa tazama hizi picha kisha tafakari nini namaanisha.
View attachment 2360417View attachment 2360416