Nyerere alikuwa anamfurahisha nani kukubali huu muundo wa Muungano?

Nyerere alikuwa anamfurahisha nani kukubali huu muundo wa Muungano?

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Huu ni muungano wa kulazimisha tena kwa mtutu wa bunduki. Ndio maana Kenyatta alisemaga watanzania ni wafu.

Muundo wa hovyo hauwajawahi kuwepo duniani ndio maana CCM wanauita wa pekee hp duniani. Eti watu hawatakiwi hata kutaja jina Tanganyika kwasababu eti hatujui hata maana ya jina Hilo. Nini maana ya Zanzibar, Kenya, Uganda? Hoja za hovyo kabisa. Tumebatizwa tunaitwa Tanzania bara, mbn wao hawajiiti Tanzania visiwani?

Nyerere alikuwa anamfurahisha Nani? Mapinduzi yenyewe yalifanywa na Tanganyika, muungano ulikuwa kwa ajili ya kulinda hayo mapinduzi yao maana sultani angerudi hiyo midebwedo ya Zenji wakimzuia na nini. Sultani angekuwa anatawala mpaka leo, muungano ulikuwa kwa ajili ya Zanzibar Cha ajabu wao ndio hawautaki tunawalazimisha.

About Jumbe alitaka kuuvunja Nyerere akafanya vituko. Nyerere ameiuza na kuidunisha nchi kubwa kama Tanganyika, kitakuja kizazi kufukua kaburi la Mwl. Nyerere.

Sherehe ya Uhuru wa Tanganyika ilifutiliwa mbali Ila angalia ya mapinduzi ya Zanzibar ni shamrashamra mwezi mzima. Ni kuzindua miradi mikubwa ya maendeleo iliyojengwa kwa pesa za Tanganyika.

Watanganyika tuamke tulinde rasilimali zetu.

Iko siku tukipata mtanganyika jasiri wazanzibari lazima watulipe
 
Huu ni muungano wa kulazimisha Tena kwa mtutu wa bunduki. Ndio maana Kenyatta alisemaga watanzania ni wafu. Muundo wa hovyo hauwajawahi kuwepo duniani ndio maana CCM wanauita wa pekee hp duniani. Eti watu hawatakiwi ht kutaja jina Tanganyika kwasababu eti hatujui ht maana ya jina Hilo. Nini maana ya Zanzibar, Kenya, Uganda? Hoja za hovyo kabisa. Tumebatizwa tunaitwa Tanzania bara, mbn wao hawajiiti Tanzania visiwani?
Nyerere alikuwa anamfurahisha Nani? Mapinduzi yenyewe yalifanywa na Tanganyika, muungano ulikuwa kwa ajili ya kulinda hayo mapinduzi yao maana sultani angerudi hiyo midebwedo ya Zenji wakimzuia na nini. Sultani angekuwa anatawala mpaka leo, muungano ulikuwa kwa ajili ya Zanzibar Cha ajabu wao ndio hawautaki tunawalazimisha. About Jumbe alitaka kuuvunja Nyerere akafanya vituko. Nyerere ameiuza na kuidunisha nchi kubwa km Tanganyika kizazi kufukua kaburi la Mwl. Nyerere.
Sherehe ya Uhuru wa Tanganyika ilifutiliwa mbali Ila angalia ya mapinduzi ya Zanzibar ni shamrashamra mwezi mzima. Ni kuzindua miradi mikubwa ya maendeleo iliyojengwa kwa pesa za Tanganyika. Dr. Mpango, Kasim Majaliwa, Mwigulu Nchemba iko siku mtajibu huu ujambazi. Samia Ana nasaba ya kiarabu, ni mbaguzi nafuu ya kaburu. Watanganyika tuamke tulinde rasilimali zetu tumkatae huu kaburu wa kutoka Kizimkazi. Iko siku tukipata mtanganyika jasiri wazanzibari lazima watulipe
Mmmmh mi siandiki kitu, hata kama una hoja....
 
Huu ni muungano wa kulazimisha tena kwa mtutu wa bunduki. Ndio maana Kenyatta alisemaga watanzania ni wafu.

Muundo wa hovyo hauwajawahi kuwepo duniani ndio maana CCM wanauita wa pekee hp duniani. Eti watu hawatakiwi hata kutaja jina Tanganyika kwasababu eti hatujui hata maana ya jina Hilo. Nini maana ya Zanzibar, Kenya, Uganda? Hoja za hovyo kabisa. Tumebatizwa tunaitwa Tanzania bara, mbn wao hawajiiti Tanzania visiwani?

Nyerere alikuwa anamfurahisha Nani? Mapinduzi yenyewe yalifanywa na Tanganyika, muungano ulikuwa kwa ajili ya kulinda hayo mapinduzi yao maana sultani angerudi hiyo midebwedo ya Zenji wakimzuia na nini. Sultani angekuwa anatawala mpaka leo, muungano ulikuwa kwa ajili ya Zanzibar Cha ajabu wao ndio hawautaki tunawalazimisha.

About Jumbe alitaka kuuvunja Nyerere akafanya vituko. Nyerere ameiuza na kuidunisha nchi kubwa kama Tanganyika, kitakuja kizazi kufukua kaburi la Mwl. Nyerere.

Sherehe ya Uhuru wa Tanganyika ilifutiliwa mbali Ila angalia ya mapinduzi ya Zanzibar ni shamrashamra mwezi mzima. Ni kuzindua miradi mikubwa ya maendeleo iliyojengwa kwa pesa za Tanganyika.

Watanganyika tuamke tulinde rasilimali zetu.

Iko siku tukipata mtanganyika jasiri wazanzibari lazima watulipe
Zanzibar ni pamoja na ukanda wote wa pwani Tanga dar pwani Lindi na mtwara na mm naomba uvunjike turudi kwetu kwenye neema
 
Tanzania bara maanake Tanzania mainland, ni kama unavyoskia mainland China halafu huku Taiwan au Hong kong
 
Huu ni muungano wa kulazimisha tena kwa mtutu wa bunduki. Ndio maana Kenyatta alisemaga watanzania ni wafu.

Muundo wa hovyo hauwajawahi kuwepo duniani ndio maana CCM wanauita wa pekee hp duniani. Eti watu hawatakiwi hata kutaja jina Tanganyika kwasababu eti hatujui hata maana ya jina Hilo. Nini maana ya Zanzibar, Kenya, Uganda? Hoja za hovyo kabisa. Tumebatizwa tunaitwa Tanzania bara, mbn wao hawajiiti Tanzania visiwani?

Nyerere alikuwa anamfurahisha Nani? Mapinduzi yenyewe yalifanywa na Tanganyika, muungano ulikuwa kwa ajili ya kulinda hayo mapinduzi yao maana sultani angerudi hiyo midebwedo ya Zenji wakimzuia na nini. Sultani angekuwa anatawala mpaka leo, muungano ulikuwa kwa ajili ya Zanzibar Cha ajabu wao ndio hawautaki tunawalazimisha.

About Jumbe alitaka kuuvunja Nyerere akafanya vituko. Nyerere ameiuza na kuidunisha nchi kubwa kama Tanganyika, kitakuja kizazi kufukua kaburi la Mwl. Nyerere.

Sherehe ya Uhuru wa Tanganyika ilifutiliwa mbali Ila angalia ya mapinduzi ya Zanzibar ni shamrashamra mwezi mzima. Ni kuzindua miradi mikubwa ya maendeleo iliyojengwa kwa pesa za Tanganyika.

Watanganyika tuamke tulinde rasilimali zetu.

Iko siku tukipata mtanganyika jasiri wazanzibari lazima watulipe
Kuifufua Tanganyia ni kuufufua ukoloni. watu walioishi katika Tanganyika hawatamani kukurudi katika Tanganyika ile. aisee maada hii ilishajadiliwa na ikaisha na tutakubaliana kutokujadiliwa tena. kuujadili muungano ni kujaribu kuleta machafuko katika nchi ambayo iliijenga amani yake kwa miaka mingi... Hizi sio maana nzuri kujadili hadharani hata humu jamii forum.
 
Kuifufua Tanganyia ni kuufufua ukoloni. watu walioishi katika Tanganyika hawatamani kukurudi katika Tanganyika ile. aisee maada hii ilishajadiliwa na ikaisha na tutakubaliana kutokujadiliwa tena. kuujadili muungano ni kujaribu kuleta machafuko katika nchi ambayo iliijenga amani yake kwa miaka mingi... Hizi sio maana nzuri kujadili hadharani hata humu jamii forum.
UNyani
 
Back
Top Bottom